• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mipango
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mifungo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

HATUA ZA KUFUATA KUPATA HATIMILIKI YA KIWANJA

HATUA ZA KUCHUKUA ILI KUPATA HATI YA HAKIMILIKI (TITTLE DEED) MJINI

1.Eneo husika lazima liwe limetangazwa kuendelezwa kimipango miji(Planning areas).

2.Eneo liwe limeandaliwa michoro ya Mipango Miji na kusajiliwa wizarani.

3.Eneo liwe limepimwa kwa kufuata mchoro wa mpango mji uliopo na kupata usajili kwa Ramani hiyo ya upimaji wizarani.

4.Baada ya hapo taratibu za kuomba kumilikishwa kiwanja/eneo lako zinafuata kwa kujaza fomu ya maombi ya kiwanja(Land Form Na 19).

5.Ukisha kubaliwa maombi ya kupata kiwanja utatakiwa kulipia gharama ya kiwanja husika(Plot price) amabayo itategemeana na ukubwa na matumizi ya kiwanja.

6.Baada ya kulipia kiwanja utaandikiwa nyaraka ya Ankara ya malipo ya gharama za HATI (Tittle costs) katika kiwanja chako. Gharama hizi ni pamoja na:

a)Premium fee.

Hii inatozwa 7.5%  ya thamani ya kiwanja (Land Value)

b)Registration Fee.

Hii inatozwa 20% ya kodi ya ardhi ya mwaka(Annual Land Rent) Mfano kodi ya mwaka ya kiwanja ni 20,000/=, RF=20,000/= X 0.2=4000/=

Tangazo

  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA KWA MWAKA 2021 December 18, 2020
  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA (JOINING INSTRUCTION) KIDATO CHA KWANZA 2021 KATIKA SHULE ZA SEKONDARI ZA HALMASHAURI YA WILAYA KILOSA December 24, 2020
  • ZABUNI January 31, 2017
  • SOMA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA March 24, 2017
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • Kikundi cha KIWASAI chafaidika na vifaranga vya samaki 1000

    April 15, 2021
  • Someni taarifa za mapato na matumizi ili shughuli za maendeleo ziende

    March 19, 2021
  • Simamieni ipasavyo matumizi ya rasilimali za Umma

    March 18, 2021
  • Bilioni 1.2 zatengwa kwa ajili ya mradi wa maji

    March 16, 2021
  • Angalia zote

Video

HIFADHII YA WANYAMA MIKUMI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • MFUMO WA PLANREP

Kurasa za Mfanano

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • NECTA
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: +255714800948

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa