• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mipango
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mifungo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

SIKU YA SHERIA UTOAJI HAKI KWA WAKATI:WAJIBU WA MAHAKAMA NA WADAU

Posted on: February 6th, 2019

Imeeleazwa kuwa jamii yoyote yenye utawala wa kisheria , watu lazima wawe na fursa ya kupata haki na waweze kutatua migogoro yao na kupata nafuu au tuzo mbalimbali zinazoendana na haki za binadamu kwa kupitia taasisi mbalimbali za utoaji haki zilizowekwa  kisheria.

Hayo yamebainishwa na Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya Kilosa Timothy Lyon katika siku ya sheria nchini ambapo amesema kuwa mwaka 2019 siku ya sheria nchini inaongozwa na dhima isemayo utoaji haki kwa wakati: wajibu wa mahakama na wadau ambapo utoaji wa haki kwa wakati unaweza kuonekana bayana katika nchi endapo kila mdau mwenye wajibu katika utoaji wa haki atatimiza wajibu wake ipasavyo.

Akiongea katika siku hiyo Katibu Tawala Wilaya Yohana Kasitila ambaye alikuwa mgeni rasmi amesema kuwa mahakama ni mahali ambapo wananchi wanategemea kuona haki ikitendeka hivyo ipo haja ya mahakimu katika mahakama zote kuwa watenda haki na wawe mstari wa mbele kuhakikisha haki inatendekea inavyostahiki ili kuondoa malalamiko ya wananchi dhidi ya mahakimu ambao wamelalamikiwa kwa vitendo vya kupokea rushwa.

Aidha Kasitila ambaye pia ni Katibu wa kamati ya maadili ya mahakimu amesema kamati yake imekuwa ikipokea malalamiko kutoka kwa wananchi na kwamba imefika wakati wa kamati hiyo kuchukua sheria zinazostahili kwa mahakimu wote wanaolalamikiwa ili kujenga taswira nzuri baina ya wananchi na mahakimu na kwamba ifike wakati haki itendeke lakini pia kwa wakati.

Tangazo

  • KUPATA TAARIFA ZA KIUTUMISHI March 22, 2017
  • ZABUNI January 31, 2017
  • SIKU YA USAFI March 23, 2017
  • SOMA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA March 24, 2017
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • UWAZI NA USHIRIKISHWAJI DHANA MUHIMU

    February 06, 2019
  • SIKU YA SHERIA UTOAJI HAKI KWA WAKATI:WAJIBU WA MAHAKAMA NA WADAU

    February 06, 2019
  • HALMASHAURI YA KILOSA KUKUSANYA MAPATO KUPITIA VYANZO MBALIMBALI

    February 05, 2019
  • TRC KUHAMISHA MAKABURI KUPISHA UJENZI WA RELI KILOSA

    February 01, 2019
  • Angalia zote

Video

HIFADHII YA WANYAMA MIKUMI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • MFUMO WA PLANREP

Kurasa za Mfanano

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • NECTA
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: +255714800948

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa