Posted on: December 11th, 2023
Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro Mussa Ali Musa amewataka Wahandisi wa majengo kufanya kazi Kwa weredi ili kuikamilisha miradi Kwa wakati uliopangwa huku akiwataka kujiepusha na vitendo vya rushwa.
...
Posted on: December 11th, 2023
Madaraja manne yamesombwa na maji huku watu zaidi 300 wakikosa makazi kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha Wilayani kilosa Mkoani Morogoro na kupelekea mafuruko katika mito ya Mkondoa,Ilonga ...
Posted on: December 7th, 2023
Serikali ya Switzerland imeendelea kushirikiana na Serikali ya Tanzania katika kupunguza madhara yatokanayo na mabadikliko ya tabia kupitia program mbalimbali kwa vijana kufanya shughuli rafiki kwa ma...