• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

Maendeleo ya Jamii

MAJUKUMU YA DIVISHENI

  • Kusaidia jamii kutafsiri fursa na vikwazo vilivyopo katika mazingira yao na kutumia rasilimali zilizopo kujiletea maendeleo.
  • Kutafsiri na kusimamia utekelezaji wa Sera za  Maendeleo ya Jamii katika ngazi za vijiji na kata.
  • Kuratibu na kusimamia asasi za kiraia zinazotekeleza shughuli za Maendeleo katika Wilaya.
  • Kuratibu na kusimamia Asasi za kiraia katika wilaya ( NGOs, CBOs na vikundi vya kiuchumi)
  • Kuratibu na Kusimamia miradi ya Mfuko wa Wanawake (WDF) katika ngazi ya Wilaya
  • Kuratibu na Kusimamia miradi ya Mfuko wa  Vijana (YDF) katika ngazi ya Wilaya
  • Kusimamia na kuratibu miradi/mipango iliyoko chini ya Idara ya Maendeleo ya Jamii (TASAF, CHF, KUDHIBITI UKIMWI, MKURABITA,n.k )
  • Kutoa mapendekeo ya kukabiliana na vikwazo vya maendeleo ya makundi maalum wakiwemo wanawake, watoto, wazee na walemavu.
  • Kuandikisha na kutunza rejista za vikundi vya maendeleo ya makundi maalumu wakiwemo vijana, wanawake na walemavu.
  • Kuhamasisha na kutoa Mapendekezo juu ya ushirikishaji jamii katika kubuni na kupanga miradi ya maendeleo  kwa kutumia teknolojia rahisi na sahihi.
  • Kufuatilia na kuuhisha rejista za wakazi katika ngazi za vijiji na vitongoji.
  • Kusimamia na kutafsiri sheria za Ustawi wa Jamii (Mtoto,Wazee, Ndoa)  katika ngazi ya Wilaya.
  • Kusaidia watu kutambua haki na wajibu wao katika kutoa huduma za kijamii na hasa makundi maalumu wakiwemno watoto, wazee na walemavu.
  • Kufuatilia na Kusimamia upatikanaji wa haki za  wazee wenye mahitaji maalumu
  • Kutetea haki za watoto na wanafamilia wanaoonewa katika ngazi ya kaya na vyombo vya sheria.
  • Kuwezesha na kusimamia vituo vya kulelea watoto yatima
  • Kutekeleza mipango kuhusu watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi
  • Kusimamia na kutafsiri sheria ya mtoto katika ngazi ya Wilaya na vijiji
  • Kusimamia na kutafsiri sheria ya mtoto katika ngazi ya Wilaya, kata na vijiji
  • Kusaidia vijana kupata mbinu za kujiinua kiuchumi na kutambua fursa na vikwazo  vilivyo katika mazingira yao na kujiletea maendeleo. 
  • Kuhimiza maendeleo ya Elimu na Ujuzi kwa Vijana
  • Kutokomezaji wa umaskini na mfungamano wa vijana kiuchumi na kijamii
  • Kuwezesha maisha endelevu na ajira kwa vijana
  • Kuwezesha maendeleo endelevu na hifadhi ya mazingira
  • Kuhamasishaji wa maadili na desturi njema za kiafrika kwa vijana
  • Kuratibu mabaraza ya vijana katika ngazi ya kata na wilaya

Tangazo

  • TANGAZO LA MKUTANO WA BARAZA LA WAHE. MADIWANI May 22, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • WAUGUZI WATAKIWA KUWA WAADILIFU MAHALI PA KAZI

    May 30, 2025
  • WAHE. MADIWANI WAISHUKURU SERIKALI YA AWAMU YA SITA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

    May 30, 2025
  • KILOSA YAJIPANGA KUTATUA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI

    May 28, 2025
  • VITENGO VYA HABARI SERIKALINI VIIMARISHWE KWA KUFANYA MAWASILIANO YA KIMKAKATI

    May 24, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa