• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mipango
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mifungo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

Bilioni 1.2 zatengwa kwa ajili ya mradi wa maji

Posted on: March 16th, 2021

Zaidi ya bilion 1.27 zimetengwa kwa ajili ya miradi ya maji safi na salama ili wananchi waweze kupata huduma ya maji saa 24 kwa mwaka .

Hayo yamesemwa machi 16 2021 na Meneja wakala wa maji na usafi wa mazingira Ruwasa Wilayani kilosa Injinia Josh Hamisi Chum alipokuwa katika kipindi cha mambo mseto kinachorushwa na Radio Jamii Kilosa wakati akizungumzia wiki ya maji ambayo huadhimishwa kuanzia Machi 16 hadi 22 kila mwaka.

Chum amesema kuwa Halmashauri imetenga kiasi cha shilingi bilioni 1,270,000,000 kwa mwaka wa fedha 2021/2022 kwa ajili ya kumalizia miradi iliyopo katika vijiji mbalimbali wilayani humo ikiwa ni pamoja na kuanzisha miradi mipya sehemu ambako bado kuna changamoto ya upatikanaji wa maji na kueleza kuwa kwasasa Ruwasa imefanikiwa kusambaza maji kwa asilimia 73 kwa upande wa vijiji na mijini asilimia 85

Amesema kuwa kuna baadhi ya vijiji vina changamoto mbalimbali ikiwa ni pamoja na vyanzo vya maji kukauka kutokana na shughuli za kibinadamu kama vile kilimo na uchimbaji wa madini ambapo tayari wameshaanza kufanya utafiti wa kubaini maeneo katika vijiji ambavyo havina maji safi na salama ili kuanza kuchimba visima virefu vitakavyosambaza maji katika katika maeneo yate.

Chum amefafanua kuwa maadhimisho ya wiki ya maji duniani kwa wilaya ya Kilosa itaadhimishwa kwa kufanya shughuli mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuzindua mradi wa maji Berega, kukagua uchafuzi wa vyanzo vya maji kata ya Ruaha, kukagua miradi ya maji inayoendelea maeneo ya Kitete, Dumila, Mabwegere, kuhamashisha wananchi kutunza mazingira pamoja na kupokea changamoto za upatikanaji wa maji katika kijiji cha Tindiga .

Hata hivyo amesema kuwa kuna baadhi ya vyanzo vya maji vilivyokuwa vinasambaza maji katika mji wa Kilosa vimeharibika kutokana na mafuriko ya mto Mkondoa ambavyo ni Nguzo sita na Mkondoa hali inayopelekea kuwa na changamoto ya kupatikana kwa maji katika baadhi ya maeneo na kusababisha mgawo wa maji na kuongeza kuwa jitihada zinafanyika ili kubaini vyanzo vingine ili kumaliza tatizo hilo la mgao.

 

Tangazo

  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI October 11, 2021
  • ZABUNI January 31, 2017
  • SOMA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA March 24, 2017
  • UTARATIBU WA UHAMISHO KWA WATUMISHI WA UMMA March 24, 2017
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • Kilosa kufanya sensa ya mifugo

    December 29, 2022
  • Kilosa kunufaika na mradi wa BOOST

    December 24, 2022
  • Kilosa yaendelea kutambua juhudi za Serikali kwa Watumishi wa Umma na Wananchi-DED Kilosa

    December 19, 2022
  • -Serikali haitosita kulinda Rasilimali watu kwa maslahi ya Maendeleo ya Taifa- Mh. Mhagama

    December 20, 2022
  • Angalia zote

Video

HIFADHII YA WANYAMA MIKUMI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • MFUMO WA PLANREP

Kurasa za Mfanano

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • NECTA
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737-847-880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa