• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

DC SHAKA AMEWASHUKURU HIFADHI YA MIKUMI KUCHANGIA SEKTA YA ELIMU

Posted on: June 19th, 2024

Katika kuendelea Kuunga mkono juhudu za serikali kwenye sekta ya elimu Hifadhi ya Taifa Mikumi imetoa msaada wa Madawati kwenye Shule za msingi saba zinazozunguka Hifadhi hiyo kwenye kata za Mhenda, Ruhembe na Mikumi ambapo madawati hayo yamepokelewa na Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Mhe. Shaka Hamdu Shaka.

Akizungumza wakati wa kupokea madawati hayo, Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Shaka Hamdu Shaka amewashukuru wadau hao kwa mchango wao na kuongeza kuwa serikali inatambua mchango wa wadau mbalimbali katika sekta ya elimu na itaendelea kushirikiana kuinua taaluma

Ameongeza kuwa wilaya ina uhaba wa madawati elfu kumi na sita kwa sasa serikali inaendelea na kutatua changamoto hiyo ambapo tayari madawati elfu nane yamepatikana na Hadi ifikapo disemba mwaka huu changamoto hiyo itamalizika.

Aidha ameongeza kuwa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa bil.1.8 kwa ajili ya ujenzi wa madarasa , matundu ya vyoo pamoja na madawati yake hivyo fedha hizo zitaelekezwa kukabiliana na changamoto ya uhaba wa madawati.

Akizungunza katika hafla ya kukabidhi Madawati hayo, kaimu Mhifadhi Mkuu Hifadhi ya Taifa Mikumi. Afisa mwandamizi wa Uhifadhi Buka Alfred amesema wametoa madawati 213 yenye Thamani zaidi ya shilingi milioni 18.

Buka anasema Hifadhi hiyo imekua na utaratibu wa kurejesha kwa Wananchi Ili jamiii iwe  mabalozi wa masuala ya uhifadhi hasa watoto wadogo.

Ameongeza kuwa kumekua na tabia ya baadhi ya vijiji vinayozunguka Hifadhi kufanya shughuli kinyume na sheria kwenye Hifadhi ikiwemo uwindaji haramu ,ufugaji , kilimo na kuchoma moto jambo ambalo limekuwa changamoto hivyo utolewaji wa madawati hayo ni kuona matunda ya  uhifadhi.

Naye Mkuu wa Kitengo Cha ujirani mwema Hifadhi ya Taifa Mikumi Afisa daraja la kwanza Uhifadhi Hamisi Marwa amezitaja shule hizo kuwa ni shule ya  Kitete Msindazi, Mikumi, Mikumi Town, Mikumi Mpya, Mhenda, Kielezo na Ruhembe .

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa