• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

DC SHAKA KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI KATA YA TINDIGA

Posted on: October 8th, 2025

Wananchi wa vijiji vya Malangali, Tindiga(A naB), Kwa Lukwambe na Ngaite Wilayani Kilosa wametakiwa kuwa wavumilivu wakati Ofisi ya Mkuu wa Wilaya inatatua  migogoro ya mipaka ya vijiji vyao ili kumalizia changamoto hiyo kwa amani.

Wito huo umetolewa na Mkuu wa Wilaya ya  Kilosa Mhe. Shaka Hamdu Shaka wakati alipofanya mkutano wa hadhara wa kusikiliza changamoto ya migogoro ya ardhi katika vijiji hivyo Oktoba 8, 2025.

Mkuu huyo wa Wilaya ameunda kamati yenye jumla ya wajumbe 8 kwa kila Kijiji  kwa ajili ya kutatua changamoto ya ardhi kiwemo mipaka ya ardhi kwa kila kijji

Mhe. Shaka amesema kuwa kamati hizo zitafanya kazi kwa muda wa siku saba kuanzia Oktoba 9, 2025 na maamuzi yatatolewa Alhamis wiki ijayo.

"Kuanzia Leo si Ngaite, Kwa Lukwambe, Tindiga (Ana B), Malangali hatutaki kuona Wala kusikia shughuli yoyote kuingia maeneo hayo kwa kwenda kufanya shughuli zozote za kugawa, ama kilimo, ama shughuli zozote mpaka Siku ya Alhamis tutakapomaliza jambo hili" Alisema Mhe. Shaka.

Hata hivyo Mhe. Shaka amewataka wananchi hao kuheshimu maamuzi ambayo yamehafikiwa kwenye mkutano huo.

Kwa upande wake Mkulima, Bi Esta Moris amemshukuru Mkuu wa Wilaya kwa kuweza kuwasikiliza na kutatua migogoro yako kwa njia ya amani.

Vileviel Mwenyekiti wa Chama Cha Wafugaji kata ya Tindiga Filemoni Karao amesema kuwa wameridhia maamuzi ya Mkuu wa Wilaya ya kuunda kamati itayosimamia na kutatua migogoro hiyo ili kutoa majibu sahihi

Tangazo

  • TANGAZO LA MAFUNZO YA UDEREVA WA MAGARI, PIKIPIKI NA BAJAJI September 30, 2025
  • TANGAZO LA TOZO September 10, 2025
  • TANGAZO LA KUKODISHA MASHAMBA YA HALMASHAURI September 11, 2025
  • MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA WA DARASA LA SABA November 23, 2023
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • WATUMISHI KILOSA WAJENGEWA UWEZO WA MATUMIZI YA MFUMO WA NEST

    October 09, 2025
  • WATUMISHI KILOSA WAHIMIZWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUFANYA MAZOEZI YA MWILI KILA JUMAMOSI YA WIKI

    October 04, 2025
  • DC SHAKA KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI KATA YA TINDIGA

    October 08, 2025
  • WANANCHI WILAYANI KILOSA WAHIMIZWA KUFANYA UCHUNGUZI WA AWALI WA SARATANI YA MATITI

    October 01, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa

  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AERO88
  • YAMITOTO
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • YAMITOTO
  • Slot Gacor
  • AXL777
  • AERO88
  • Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • Situs Toto
  • Slot Gacor
  • KOI200
  • SILVAWIN
  • AXL777
  • AXL777
  • YAMITOTO
  • NABITOTO
  • YAMITOTO
  • UFABET
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200