• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

FUATENI SHERIA, TARATIBU NA KANUNI- DC KILOSA

Posted on: June 29th, 2021

Watendaji wa kata, vijiji na wenyeviti wa vitongoji wametakiwa kujituma kwa bidiii katika majukumu yao huku wakizingatia miiko ya majukumu ya kuwatumikia wananchi lengo ikiwa ni pamoja na kutatua changamoto za wananchi.

Rai hiyo imetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Alhaji Majid Mwanga alipozungumza na watendaji hao ambapo amewataka kazi iwe ndio kipaumbele cha kwanza huku akisisitiza uwepo wa nidhamu kuanzia ngazi ya chini kwa kushirikiana badala ya kutunishiana misuli kwani kila mmoja yupo kisheria kwa majibu wa majukumu yake.

Mwanga ametaka kufanyika kwa mikutano yote ya kisheria ambapo ameagiza wenyeviti wa vitongoji kuanzia Juni 1 hadi 10 kuhakikisha mikutano yote stahiki iwe imeshafanyika huku akitaka mihutasari ya vikao hivyo iwe imefika kwa watendaji wa kata ifikapo  Juni 10 na ameagiza kuwepo kwa mikutano  ya masuala ya ulinzi na usalama ambayo itakuwa ikijadili ulinzi na usalama na matukio yaliyojitokeza na namna yalivyoshughulikiwa pia ametaka uwepo wa kitabu ambacho kitakuwa kinaonyesha namna wananchi waliofika ofisini na namna kero zao zilivyotatuliwa.


Aidha amewataka viongozi hao kutambua kuwa miradi yote inayofanyika katika maeneo yao inawahusu na wanapaswa kuifahamu vizuri huku upande wa elimu akiwataka viongozi hao kuhakikisha watoto wote wanaostahili kusoma wanapata haki ya kupata elimu ambapo pia ametaka ujenzi wa madarasa kwa shule za msingi na sekondari kuanza mapema.

Upande wa migogoro ya wakulima na wafugaji ametaka viongozi hao kuendelea kusimamia utii wa sheria kwa kuhakikisha usalama na amani inadumu katika maeneo yao jambo litakalosaidia  wilaya kuwa na utulivu na amani huku akitaka hatua za haraka kuchukuliwa pindi tatizo linapojitokeza ili kutoleta taharuki na hasira katikati ya jamii.


Katibu Tawala Wilaya Yohana Kasitila

                   Kaimu Meneja Mamlaka ya Mapato Kilosa Mussa Haruni

Naye Katibu Tawala Yohana Kasitila ametaka watendaji hao kuhakikisha miongoni mwa ajenda zinazokuwepo katika vikao vyao ni ajenda ya ulinzi na usalama, mapato na matumizi, miradi ya maendeleo na huduma za jamii huku Kaimu Meneja wa mamlaka ya mapato(TRA) Mussa Haruni amewasihi watendaji hao kutoa ushirikiano katika kutoa hamasa kwa wananchi kulipa kodi stahiki, kutoa vitambulisho kwa watu stahiki pamoja na kuwakumbusha wananchi kudai risiti kwani kutodai risiti ni kosa kisheria.


Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa