• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mipango
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mifungo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

JAMII YAASWA KUZINGATIA USAWA NA KUPIMA KWA HIARI

Posted on: December 2nd, 2021

Kufuatia kauli mbiu ya Siku ya UKIMWI Duniani kwa mwaka 2021 isemayo ‘’Zingatia Usawa, Tokomeza UKIMWI , Tokomeza magonjwa ya mlipuko’’ wananchi wilayani Kilosa wamesisitizwa kuzingatia suala la usawa kuanzia ngazi ya kaya katika masuala ya afya ikiwemo upimaji wa hiari wa virusi vya ukimwi(VVU)  na magonjwa ya mlipuko ikiwemo COVID.

Rai hiyo imetolewa na Katibu Tawal a Wilaya Yohana Kasitila kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya katika maadhimisho ya siku ya Ukimwi Duniani ambayo huadhimishwa Disemba Mosi kila mwaka ambapo usawa ukizingatiwa na upimaji wa hiari itasaidia kupunguza kiwango cha maambuziki mapya ya VVU na UKIMWI katika jamii na kupunguza vifo vitokanavyo na UKIMWI ili kuhakikisha jamii inakuwa salama.

Aidha amesema kuwa ugonjwa wa UKIMWI umeleta athari mbaya kwa jamii na kiuchumi  na kuleta hali ya umaskini na migogoro ya kifamilia kwa jamii, vifo vingi na kusababisha uwepo wa yatima lakini pia unachangia kupoteza nguvu kazi , kupunguza uzalishaji mali na kuongeza gharama za tiba na huduma kwa waathirika wa ugonjwa wa UKIMWI ambapo matokeo yake ni kuathiri kasi ya ukuaji na ustawi wa uchumi wa wilaya na watu wake.

Naye Mratibu wa UKIMWI Wilaya Merrisiana Temu amesema kufikia mwezi Oktoba, 2021 mwenendo wa maambukizi kati ya watu waliojitokeza kupima 2.9% ya watu wote waliobainika kuwa na maambukizi  ya virusi vya UKIMWI, kiujumla inaonyesha maambukizi kati ya watu wanaojitokeza kupima yanapungua mwaka hadi mwaka.

Temu amesema vichocheo vya maambukizi kiwilaya ni uwepo wa barabara kuu na maegesho ya magari makubwa katika maeneo ya Mikumi na Dumila, kuwepo kwa maeneo ya kibiashara ya mazao na uwepo wa ujenzi wa reli ya mwendo kasi  na miundombinu ya barabara ni miongoni mwa maeneo ambayo hukutanisha watu wa aina mbalimbali hivyo kupelekea mahusiano ya kingono na biashara ya ngono.

Tangazo

  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI October 11, 2021
  • ZABUNI January 31, 2017
  • SOMA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA March 24, 2017
  • UTARATIBU WA UHAMISHO KWA WATUMISHI WA UMMA March 24, 2017
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • Kilosa kufanya sensa ya mifugo

    December 29, 2022
  • Kilosa kunufaika na mradi wa BOOST

    December 24, 2022
  • Kilosa yaendelea kutambua juhudi za Serikali kwa Watumishi wa Umma na Wananchi-DED Kilosa

    December 19, 2022
  • -Serikali haitosita kulinda Rasilimali watu kwa maslahi ya Maendeleo ya Taifa- Mh. Mhagama

    December 20, 2022
  • Angalia zote

Video

HIFADHII YA WANYAMA MIKUMI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • MFUMO WA PLANREP

Kurasa za Mfanano

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • NECTA
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737-847-880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa