• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mipango
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mifungo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

Kilosa yapata tuzo katika kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi

Posted on: February 16th, 2022

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Kisena Mabuba ametoa rai kwa idara na vitengo kuiga mfano wa kiutendaji kutoka Idara ya Aafya ambayo imefanya vizuri kwa kipindi cha mwaka 2021 katika maeneo mbalimbali jambo lililopelekea matokeo chanya na kupata tuzo tatu ndani ya mkoa wa Morogoro.

Kisena ametoa rai hiyo wakati akipokea taarifa toka Idara ya Afya iliyotokana na kikao cha kujadili vifo vitokanavyo na uzazi ambacho hufanyika kila mwaka ambapo kufuatia kikao hicho hutoa tathmini ya namna ambavyo halmashauri zote za mkoa wa Morogoro zilivyofanikisha kupunguza vifo hivyo.

Akitoa taarifa hiyo Mganga Mkuu wa Wilaya Dkt. George Kasibante amesema Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa imeweza kupata tuzo 3 ambazo tuzo ya kwanza ikiwa ni kupunguza vifo vya uzazi kutoka 18/100,000 kwa mwaka 2020 hadi 6/100,000 kwa mwaka 2021, tuzo ya pili ikiwani kupunguza vifo vya watoto kutoka 37/100,000 kwa mwaka 2020 hadi vifo 16/100,000 kwa mwaka 2021 lakini pia Hospitali ya Wilaya ilipata zawadi ya kituo kilichosaidia kupunguza vifo.

Kasibante amesema kikao hicho hutoa fursa kwa kufanya tathmini na kujipima namna kila wilaya ilivyofanikisha katika kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi, vifo vya watoto wachanga na chini ya miaka mitano lakini pia hujadili namna bora ya kumvusha salama mama mjamzito kwa kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi na vile vifo vya watoto wachanga katika mkoa wa Morogoro.

Tangazo

  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI October 11, 2021
  • ZABUNI January 31, 2017
  • SOMA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA March 24, 2017
  • UTARATIBU WA UHAMISHO KWA WATUMISHI WA UMMA March 24, 2017
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • DC MAJID AAHIDI KUTATUA CHANGAMOTO YA UHABA WA MADAWATI

    June 22, 2022
  • Wazazi wasisitizwa kuwalinda watoto kwa kuhifadhi chakula chakutosha

    June 17, 2022
  • Vijana waaswa kuwa chachu na mfano bora wa kuigwa katika jamii

    June 15, 2022
  • Kuchangia ujenzi wa zahanati kwa kutumia kuku

    June 14, 2022
  • Angalia zote

Video

HIFADHII YA WANYAMA MIKUMI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • MFUMO WA PLANREP

Kurasa za Mfanano

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • NECTA
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu:

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa