• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

RC MALIMA ATOA MAAGIZO KILOSA, AITAKA HALMASHAURI KUBORESHA UKUSANYAJI WA MAPATO

Posted on: June 11th, 2025

Baraza Maalum la Madiwani limefanyika Juni 11, 2025 katika ukumbi wa FDC Ilonga, Wilayani Kilosa, kwa ajili ya kupitia na kujadili hoja za  Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka wa fedha 2023/2024.

Katika kikao hicho, jumla ya hoja 20 ziliwasilishwa na kujadiliwa; kati ya hizo, hoja 3 zimefutwa rasmi, hoja 7 zimekabidhiwa Halmashauri kwa ajili ya kufanyiwa kazi ili zifutwe, huku hoja zilizobaki zikiwa katika hatua mbalimbali za utekelezaji.

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mhe. Adam Kighoma Malima, ambaye ameendesha kikao hicho na kutoa maagizo kwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Mhe. Shaka Hamdu Shaka kuhakikisha miundombinu ya ukusanyaji mapato inawekwa katika stendi za maroli za Mikumi na Dumila ndani ya wiki mbili.

Mhe. Malima amesisitiza kuwa maeneo hayo yawe vyanzo vya mapato ya halmashauri ambapo pia amemuagiza Afisa Ardhi Wilaya Ndg. Hilal Hamisi Iddi  kutenga maeneo kwa ajili ya uwekezaji, akieleza kuwa Kilosa itakuwa lango la utalii kuelekea Hifadhi ya Mikumi.

Naye Katibu Tawala wa Mkoa Dkt. Mussa Ally Mussa amesisitiza kukamilishwa kwa majengo ya halmashauri, ukumbi wa halmashauri, na majengo ya hospitali ya wilaya kwa haraka huku akiwakumbusha madiwani kutumia vishikwambi walivyopewa kwa matumizi ya ofisi ili kuhifadhi nyaraka za serikali.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, Shaka Hamdu Shaka, ametoa shukrani kwa Mkuu wa Mkoa na madiwani kwa ushirikiano katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo pia amewatakia mafanikio mema katika uchaguzi mkuu ujao.

Baraza hilo limeonyesha dhamira ya dhati ya kuhakikisha uwajibikaji na utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa manufaa ya wananchi wa Kilosa.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI KILOSA DC June 06, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • DC SHAKA AWATAKA VIONGOZI WA VIJIJI KUCHUKUA HATUA DHIDI YA VITENDO VYA UVUNJIFU WA AMANI KIDUHI

    June 19, 2025
  • DC SHAKA AWATAKA VIONGOZI NGAZI YA KATA NA VIJIJI KUSIMAMIA NA KUFUATILIA MIRADI YA MAENDELEO IPASAVYO

    June 19, 2025
  • DC SHAKA AWATAKA WAZAZI / WALEZI KUWAJIBIKA KATIKA MALEZI BORA YA WATOTO

    June 16, 2025
  • TIMU YA MENEJIMENTI KILOSA YAFANYA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    June 12, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa