• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

TAMBUENI SHERIA ZA ARDHI NA TAFSIRI ZAKE - DC

Posted on: January 10th, 2020

Mkuuu wa Wilaya ya Kilosa Adam Mgoyi ametoa wito kwa wananchi kuwa na tafakari ya kina na kuwa na muda wa kuzitambua vema sheria za ardhi na tafsiri zake katika umiliki kabla ya kuanzisha migogoro ya ardhi ikiwemo migogoro ya mipaka ambayo imekuwa ikijitokeza mara kwa mara.

Mgoyi ametoa wito huo Januari 9 mwaka huu wakati wa kikao chake na viongozi wa serikali za vijiji vya Tindiga A, Tindiga B na Ngaiti ambao wamekuwa na mgogoro ambapo amesema ni vema wananchi katika maeneo yao hususani viongozi wakawa na uelewa mzuri kuhusu maeneo yao ya kiutawala jambo litakalosaidia kwa kiasi kikubwa kuepusha migogoro ambayo hutokana na kutoelewa mipaka ya maeneo yao.



Mkuuu wa Wilaya ya Kilosa Adam Mgoyi ametoa wito kwa wananchi kuwa na tafakari ya kina na kuwa na muda wa kuzitambua vema sheria za ardhi na tafsiri zake katika umiliki kabla ya kuanzisha migogoro ya ardhi ikiwemo migogoro ya mipaka ambayo imekuwa ikijitokeza mara kwa mara.

Mgoyi ametoa wito huo Januari 9 mwaka huu wakati wa kikao chake na viongozi wa serikali za vijiji vya Tindiga A, Tindiga B na Ngaiti ambao wamekuwa na mgogoro ambapo amesema ni vema wananchi katika maeneo yao hususani viongozi wakawa na uelewa mzuri kuhusu maeneo yao ya kiutawala jambo litakalosaidia kwa kiasi kikubwa kuepusha migogoro ambayo hutokana na kutoelewa mipaka ya maeneo yao.

MKUU WA WILAYA YA KILOSA ADAM MGOYI AKIZUNGUMZA NA VIONGOZI WA SERIKALI ZA VIJIJI VYA TINDIGA A, TINDIGA B NA NGAITI

Mkuuu wa Wilaya ya Kilosa Adam Mgoyi ametoa wito kwa wananchi kuwa na tafakari ya kina na kuwa na muda wa kuzitambua vema sheria za ardhi na tafsiri zake katika umiliki kabla ya kuanzisha migogoro ya ardhi ikiwemo migogoro ya mipaka ambayo imekuwa ikijitokeza mara kwa mara.

Mgoyi ametoa wito huo Januari 9 mwaka huu wakati wa kikao chake na viongozi wa serikali za vijiji vya Tindiga A, Tindiga B na Ngaiti ambao wamekuwa na mgogoro ambapo amesema ni vema wananchi katika maeneo yao hususani viongozi wakawa na uelewa mzuri kuhusu maeneo yao ya kiutawala jambo litakalosaidia kwa kiasi kikubwa kuepusha migogoro ambayo hutokana na kutoelewa mipaka ya maeneo yao.


MKURUGENZI MTENDAJI AKITOA UTANGULIZI KATIKA KIKAO CHA VIONGOZI WA SERIKALI ZA VIJIJI VYA NGAITI, TINDIGA A NA B

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Asajile Mwambambale ameiagiza Idara ya Ardhi kwenda eneo husika kwa ajili ya kuendelea na kazi ya upimaji ili kutambua mipaka ya maeneo hayo kazi ambayo ilisimama kutokana na mvua zilizokuwa zikinyesha na kusababisha kazi hiyo kusimama kwa muda ambapo pia amewataka viongozi wa Serikali za vijiji katika vijiji hivyo kuwa tayari na kuyakubali matokeo ya upimaji huo mara baada ya kukamilika.

VIONGOZI WZ SERIKALI ZA VIJIJI VYA TINDIGA A NA B NA NGAITI WAKISHIRIKI KIKAO.


Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa