• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

TUMIENI MPANGO MKAKATI WA KILIMO KUONGEZA TIJA-DC KILOSA

Posted on: October 25th, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Adam Mgoyi amewataka wananchi na wakulima wa wilayani Kilosa kutumia vyema fursa ya uwepo wa mpango mkakati wa kilimo pamoja na uzinduzi wa msimu wa kilimo kujionea teknolojia mbalimbali ambazo ni mpya na kuweka nia ya dhati ya kuzifanyia kazi teknolojia hizo kwani kupitia kilimo wanayo nafasi ya kujiongezea kipato endapo watalima kwa tija na kuzingatia kanuni bora za kilimo pamoja na matumizi ya mbegu bora.

Hayo yameelezwa na Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Adam Mgoyi wakati akikamkaribisha mgeni rasmi naibu waziri wa kilimo Omary Mgumba wakati wa uzinduzi wa msimu wa kiimo 2017/2018 ambapo amesema kuwa wilaya yankilosa imejiwekea mpango mkakati huo kwa kuhakikisha wakullima wanatumia nguzu zao na kuwasidia kitaalam kwa kuhakikisha wanautambua mpango huo kama nyenzo ya kuwasaidia kujitambua nafasi yao na kutumia mpango huo kujikwaamua kimasha kupitia kilimo.

Mgoyi amesema kuwa mpango huo ulianzan kutumika rasmi mwaka 2017 ambapo matokeo yalikuwa mazuri ambapo hadi sasa uzalishaji umepanda kawa asilimiaa 40 ambapo wataalam wamekuwa na mchango mkubwa kwa kushirikiana na taasisi mbalimbali kusaidia wakulima na juhudi hizo zimekuwa msaada kwa kuwajengea uwezo wakulima hao, sambamba na hayo Mgoyi amesema kuwa kupitia uzinduzi wa msimu huo umewapa wakulima nafasi ya kujionea teknolojia mbalimbali, upatikanaji wa mbegu bora na mambo mengine muhimu yanayowasaidia wakulima kulima kwa tija na kujikomboa dhidi ya umasikini.

Aidha Mgoyi alitumia fursa hiyo kuwasilisha changamoto za wakulima kwa Naibu Waziri Kilimo ikiwemo changamoto ya uwepo wa wakala wa pamba aliyesababisha wakulima kutovuna pamba kama walivyotarajia kutokana na kuletewa madawa yasiyofaa hivyo kupelekea hasara kwa wakulima jambo lililosababisha mkuu wa wilaya huyo kwa mamlaka yake kutamka wazi kuwa wakala huyo hahitajiki tena wilayani Kilosa na hana sifa za kufanya kazi wilayani hapa kutokana na hasara aliyoisababisha kwa wakulima ikiwemo kukataliwa kwa baadhi ya pamba kutokana  na kukosa ubora.

Akijibu changamoto hizo Naibu Waziri wa Kilimo Mgumba ameiagiza bodi ya pamba Tanzania kuhakikisha inanunua pamba yote iliyokataliwa wilayani Kilosa na kwamba uongozi wa Halmashauri uhakikishe unafanya sensa kwa wakulima wa pamba kujua kiasi cha pamba kilichokataliwa ili taratibu za manunuzi ziweze kufanyika na mzabuni huyo anayelalamikiwa kuwasababishia wakulima wa pamba hasara haruhusiwi tena kufanya kazi katika wilaya ya Kilosa, aidha ametaka mashamba pori yote yaliyofutwa na Mheshimiwa Rais wa awamu ya tano Mhe. John Pombe Magufuli yagawanywe kwa wananchi kama ilivyokusudiwa na amebainisha kuwa serikali ya awamu ya awamu ya tano inatarajia kuwapatia wakulima wa kilosa matrekta 24 kwa njia ya mkopo ambapo baada ya kulipia matrekta hayo yatakabidhiwa rasmi kwa wakulima ili wayamiliki kikamilifu .

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa