• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

VIONGOZI W SERIKALI ZA MITAA KILOSA WAAPISHWA, WATAKIWA KUWA WAADILIFU

Posted on: November 29th, 2024

Viongozi wapya wa serikali za mitaa waliopitikana kupitia uchaguzi ulifanyika  uliofanyika Novemba 27 na 28, 2024 wameapishwa rasmi leo tarehe 29 Novemba, 2024.

Viongozi hao, wakiwemo wenyeviti wa vijiji, wenyeviti wa vitongoji na wajumbe wa kundi mchanganyiko wamekula kiapo cha utii na uadilifu katika kata mbalimbali ikiwemo tindiga, Masanze, zombo, Ulaya, Mhenda na kisanga wilayani humo.Hafla hiyo ilifanyika chini ya usimamizi wa Mhe. Hakimu Mkazi Martin Morris Cyprian.

Mhe. Hakimu Martin Cyprian, ambaye alisimamia kiapo hicho, aliwakumbusha viongozi hao kuwa kiapo walichokula si jambo la kawaida  bali ni ahadi rasmi inayowalazimu kutekeleza majukumu yao kwa uaminifu na kwamba kushindwa kutimiza ahadi hizo ni sawa na kukosa kuheshimu dhamana ya wananchi.

Akizungumza kwa niaba  Mkurugenzi Mtendaji Ndg. Betuely Joseph Ruhega amewakumbusha viongozi hao umuhimu wa kutambua dhamana waliyopewa na wananchi na kuwataka viongozi hao kuonyesha uadilifu, uwajibikaji na kutanguliza maslahi ya jamii katika kila hatua ya uongozi wao.

Aidha Ruhega alisisitiza kuwa viongozi hao ni watumishi wa umma, hivyo wanapaswa kusimamia miradi yote ya  maendeleo, kuhakikisha mapato ya vijiji yanakusanywa na kuwekwa benki na viapo hivyo vya utii vikawe tija kwa wananchi.

Baadhi ya watendaji waliokuwepo kwenye hafla hiyo nao walitoa wito kwa viongozi hao kuhakikisha wanachukua hatua zinazolenga kuboresha  maisha ya wananchi waliowachagua.

Hafla ya kuapishwa kwa viongozi hao ni mwanzo wa safari mpya ya maendeleo katika wilaya ya Kilosa ambapo Halmashauri ya Wilaya hiyo inawataka viongozi hao kushirikiana na wananchi ili kufanikisha malengo ya maendeleo.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI KILOSA DC June 06, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • DC SHAKA AWATAKA VIONGOZI WA VIJIJI KUCHUKUA HATUA DHIDI YA VITENDO VYA UVUNJIFU WA AMANI KIDUHI

    June 19, 2025
  • DC SHAKA AWATAKA VIONGOZI NGAZI YA KATA NA VIJIJI KUSIMAMIA NA KUFUATILIA MIRADI YA MAENDELEO IPASAVYO

    June 19, 2025
  • DC SHAKA AWATAKA WAZAZI / WALEZI KUWAJIBIKA KATIKA MALEZI BORA YA WATOTO

    June 16, 2025
  • TIMU YA MENEJIMENTI KILOSA YAFANYA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    June 12, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa