• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mipango
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mifungo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

Viongozi wa kata wasisitizwa kusimamia vyanzo vya mapato

Posted on: May 13th, 2022

Waheshimiwa madiwani na  Watendaji wa kata wametakiwa kuhakikisha vyanzo vyote vya mapato vilivyopo katika maeneo yao vinakusanywa kwa kadri inavyostahiki ili kuiwezesha Wilaya ya Kilosa kuwa na mapato ya kutosha ili kujiletea maendeleo.

Wito huo umetolewa na Mwenyekiti wa Halmshauri ya Wilaya ya Kilosa Mh. Wilfred Sumari ambapo ametaka kila kiongozi katika eneo lake kusimamia vema vyanzo hivyo ili Wilaya iweze kuendesha shughuli zake pamoja na kujiletea maendeleo.

Akizungumzia zoezi tarajiwa la Sensa ya Watu na Makazi inayotarajiwa kufanyika Agosti 23, 2022 amesema kupitia sensa ndipo takwimu sahihi za kiwilaya hupatikana ambapo ametaka wananchi kuhamasishwa kushiriki zoezi hilo ili kupata takwimu sahihi kwaajili ya kupanga mipango ya maendeleo na upatikanaji wa huduma hizo hupangwa kulingana na idadi ya watu hivyo ni vema ikafanyika hamasa ya kutosha.

Aidha amesisitiza wananchi kuendelea kupata chanjo ya uviko-19 ili kujikinga huku akiwataka viongozi mbalimbali kuendelea kuwahamasisha wananchi ili kufanikisha zoezi la chanjo ya polio kwa watoto chini ya miaka mitano.

Sumari amewaomba viongozi wote kuendelea kushirikiana katika kuijenga Kilosa kwa kusimamia miradi yote inayotekelezwa katika kata mbalimbali huku wakizingatia ushauri wa kisheria na kitaalam pamoja na kusimamia sheria ndogo zilizopitishwa ili zitumike katika vijiji kwa mustakabali wa maendeleo ya wananchi wa Kilosa.

Naye Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Kisena Mabuba amesisitiza vikao na mikutano itakayofanyika katika kata na vijiji ajenda ya zoezi la sensa ipewe kipaumbele ili kuwajengea wananchi uelewa na hamasa ya kushiriki zoezi hilo huku akibainisha faida za sensa ikiwemo wilaya kupata fedha za maendeleo kwa mujibu wa idadi ya watu, kuinua shughuli za kiuchumi ambapo ametoa rai kwa vijana kuomba nafasi za kazi kwa ajili ya zoezi hilo ambalo mchakato wa maombi mwisho ni Mei 19, 2022.

Tangazo

  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI October 11, 2021
  • ZABUNI January 31, 2017
  • SOMA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA March 24, 2017
  • UTARATIBU WA UHAMISHO KWA WATUMISHI WA UMMA March 24, 2017
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • Viongozi wa kata wasisitizwa kusimamia vyanzo vya mapato

    May 13, 2022
  • Viongozi wa kata wasisitizwa kusimamia vyanzo vya mapato

    May 13, 2022
  • Viongozi wa kata wasisitizwa kusimamia vyanzo vya mapato

    May 13, 2022
  • Viongozi wa kata wasisitizwa kusimamia vyanzo vya mapato

    May 13, 2022
  • Angalia zote

Video

HIFADHII YA WANYAMA MIKUMI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • MFUMO WA PLANREP

Kurasa za Mfanano

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • NECTA
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu:

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa