• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mipango
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mifungo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

MKANDARASI LUKOLO CONSTRACTOR ATAKIWA KUMALIZA MRADI KWA WAKATI- KUSAYA

Posted on: January 15th, 2021

Katibu Mkuu Kilimo Gerald Kusaya ametoa muda hadi ifikapo mwisho wa mwezi huu mkandarasi Lukolo Construction Ltd awe amekamilisha ujenzi wa mradi wa skimu ya umwagiliaji ya Kilangali ili itumike na Wakala wa Mbegu wa Taifa ( ASA) kuzalisha mbegu kwa mujibu wa mkataba.


Kusaya ametoa onyo hilo Januari 14 mwaka huu wakati alipofanya ziara ya kukagua mradi huo unaotekelezwa chini ya mradi wa Kuongeza Tija na Uzalishaji wa zao la mpunga ( ERPP) chini ya wizara ya Kilimo  ambapo amesema mradi huo ni miongoni mwa miradi 11 ambapo miradi 10 ipo tayari isipokuwa wa Kilangali ambao kwa sasa umefikia asilimia 75 hivyo mkandarasi aongeze kasi ili ifikapo mwisho wa mwezi awe amekamilisha na kuukabidhi.


Kusaya amesema Wizara ya Kilimo kwa ushirikiano na Benki ya Dunia inatekeleza mradi wa Kuongeza tija kwenye zao la mpunga katika Wilaya za Mvomero,Kilosa na Ifakara ambapo skimu 5, maghala 5 na maabara moja ya kilimo zimejengwa na zitakabidhiwa kwa wakulima mwisho wa mwezi huu.


Aidha amesema mradi wa skimu ya Kilangali una ukubwa wa hekta 400 na unagharimu shilingi Bilioni 5 ambapo kupitia mradi huo na miradi mingine iliyo chini ya wizara hiyo inalenga kuwafanya wakulima walime kisasa  na waongeze tija na kukuza kipato .


Naye Katibu Tawala Msaidizi Uchumi na Uzalishaji mkoa wa Morogoro Dkt.Rosalia Rwegasila amesema mradi wa ERPP umewezesha tija kuongezeka kwani uzalishaji Mpunga umeongezeka toka tani 400,000 mwaka 2016 hadi tani 800,000 mwaka 2020.

Tangazo

  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA KWA MWAKA 2021 December 18, 2020
  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA (JOINING INSTRUCTION) KIDATO CHA KWANZA 2021 KATIKA SHULE ZA SEKONDARI ZA HALMASHAURI YA WILAYA KILOSA December 24, 2020
  • ZABUNI January 31, 2017
  • SOMA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA March 24, 2017
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • Jamii yasisitizwa kuendelea kuchukua tahadhari

    March 03, 2021
  • Walisababisha upotevu wa fedha za saccos ya walimu Kilosa watazitapika

    February 28, 2021
  • Baraza la madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa lapitisha bajeti ya shilingi bilioni 66.2

    February 17, 2021
  • Wafanyabiashara waridhia tozo ya shilingi 50,000

    February 13, 2021
  • Angalia zote

Video

HIFADHII YA WANYAMA MIKUMI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • MFUMO WA PLANREP

Kurasa za Mfanano

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • NECTA
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: +255714800948

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa