• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

DC SHAKA AWATAKA WANANCHI KUTUMIA FURSA ZA UWEKEZAJI KILOSA

Posted on: June 30th, 2025

Wananchi ndani na nje ya Wilaya ya Kilosa wametakiwa kutumia fursa za uwekezaji zilizopo Wilayani humo ili kuhakikisha uchumi unaimarika na kuleta maendeleo.


Wito huo umetolewa Juni 30, 2025 na Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Mhe. Shaka Hamdu Shaka katika mkutano wa Baraza la biashara uliofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa na kusema kuwa zipo fursa mbalimbali za uwekezaji ikiwemo Utalii, Kilimo, Mazingira, Madini na  Viwanda. 



Mhe. Shaka ameeleza kuwa ili kuunga mkono jitihada za serikali inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan wadau wa sekta binafsi wanatakiwa kushirikiana na Serikali ya Wilaya ya Kilosa na kutumia fursa zilizopo ndani ya Wilaya ili kuimarisha uchumi na kuchochea ustawi wa maendeleo katika jamii. 

Kwa upande wake Katibu wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT) Wilaya ya Kilosa Bw. Edward Mapile amesema kuwa baraza hilo limefanyika ili kutoa fursa kwa sekta binafsi na Serikali kupeana taarifa mbalimbali za maendeleo na kutatua changamoto zinazojitokeza na kufanya marekebisho yatakayopelekea kuongeza maendeleo katika Wilaya ya Kilosa. 


Mapile ameongeza kwa kusema kuwa kwa sasa Wilayani Kilosa zipo fursa  mbalimbali kama vile uwepo wa reli ya SGR inayorahisisha usafiri na kuongeza kasi ya uwekezaji kwa wadau wa sekta binafsi hivyo amewasihi wajitokeze kuwekeza ili kukuza uchumi wa mtu mmoja mmoja na Taifa kwa Ujumla.


Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI KILOSA DC June 06, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • DC SHAKA AWATAKA WANANCHI KUTUMIA FURSA ZA UWEKEZAJI KILOSA

    June 30, 2025
  • DC SHAKA AWATAKA VIONGOZI NGAZI YA KATA NA VIJIJI KUSHIRIKANA KULETA MAENDELEO KATIKA MAENEO YAO

    June 30, 2025
  • KILOSA YAISHUKURU SERIKALI YA AWAMU YA SITA KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    June 22, 2025
  • DC SHAKA AWATAKA VIONGOZI WA VIJIJI KUCHUKUA HATUA DHIDI YA VITENDO VYA UVUNJIFU WA AMANI KIDUHI

    June 19, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa