• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

Baraza la Wazee laomba Kupewa kipaumbele

Posted on: June 8th, 2022

Serikali kwa kushirikiana na uongozi wa Wilaya ya Kilosa inatambua umuhimu na uwepo wa wazee pamoja na mchango wao katika jamii hususani katika kuleta chachu ya maendeleo sambamba na kuwahudumia wazee katika kutatua changamoto wanazopitia.

Hayo yamebainishwa na Katibu Tawala Wilaya Yohana Kasitila kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya wakati wa ufunguzi wa kikao cha viongozi wa baraza la wazee ambapo amesema kuwa Wilaya na Serikali kiujumla inatambua mchango wao huku akiwataka kuzingatia mwongozo ili ajenda zinazowahusu ziweze kuwekewa utaratibu na kuingizwa kwenye mpango wa Serikali na Halmashauri kwa ajili ya utekelezaji na kwamba Halmashauri ina wajibu wa kusimamia vizuri mwongozo huku akitaka changamoto na kero zote kuzungumzwa katika kikao kwa lengo la kupata utatuzi.

Pamoja na hayo amewaasa Maafisa Ustawi wa Jamii kutokwepa majukumu yao kwani mwongozo unawataka kuwa karibu na wazee ambao wana mchango mkubwa katika shughuli za maendeleo huku akisema kuwa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya itahakikisha mwongozo unafuatwa kikamilifu huku akisisitiza uwepo wa ushirikiano kutoka kwa wazee kwa kila hatua na pindi wanapohitajika wasisite kushirikiana na Wilaya sambamba na kushiriki na kuwa vinara katika kuhamasisha na kutoa elimu kwa wananchi kushiriki katika zoezi la Sensa ya Watu na Makazi inayotarajiwa kufanyika mwezi Agosti 2022.

Kwa upande wa viongozi baraza hilo wameupongeza uongozi wa Wilaya kwa kuwa karibu nao huku wakiiomba Halmashauri kuwapatia mradi wa bajaji ambayo wanaamini itakawasaidia kujikwamua kiuchumi jambo litakalowasaidia kuendesha shughuli zao pamoja na ofisi kwa ajili ya shughuli zao lakini pia wameiomba Idara ya Maendeleo ya Jamii hususani sehemu ya Ustawi wa Jamii kuwathamini na kuwajali.

Aidha wameomba kupewa kipaumbele katika mipango ya Halmashauri na upangaji wa bajeti kwa kutengewa fedha ambazo zitakuwa zikitumika katika kuendesha shughuli zao ikiwemo uendeshaji wa vikao na shughuli mbalimbali zinazohusu masuala ya wazee.

                                                                                                                                             Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Wilaya Leah Nzali

                                                                                                                                                    Afisa Ustawi wa Jamii Prisca Nivaco

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa