• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mipango
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mifungo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

Utamaduni, Sanaa na Michezo

MAJUKUMU YA KITENGO CHA UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO

1.Kusimamia utoaji wa vibali mbalimbali vya sherehe na matangazo mbalimbal

2. Usimamizi wna utekelezaji wa nyimbo za Uzalendo

                -Wimbo wa Taifa

                -Nyimbo za Uzalendo

                -Picha za viongozi

                                 (i) Rais aliyepo madarakani

                                 (ii)Picha ya baba wa Taifa  kuwepo mahali katika taasisi za Serikali mfano ;shule za msingi , shule za sekondari na vyuo vilivyopo ndani                                         ya wilaya .

3.Kusimamia uendeshaji wa vituo na lugha 

4. Kufanya utafiti wa maswala ya lugha sanaa mila na desturi na mwendelezo wa simulizi na michezo ya jadi .

5.Usajili wa vikundi vya sanaa ambavyo vipo ndani ya wilaya

6.Uhamasishaji wa sherehe mbalimbali na makongamano yanayofanyika ndani ya wilaya

7.Utoaji wa elimu kwa vijana pamoja na uhamasishaji wa vijana kufahamu mila na desturi za kitanzania

8. Kitengo cha utamaduni ndicho kinachoratibu na kusherehesha shughuli mbalimbali ndani ya wilaya mfano –Ujio wa viongozi wakuu wa kiserikali

9.Uhamasishaji wa mwenge wa uhuru

10. Kutoa elimu kwa wasanii waweze kuitangaza nchi yetu vizuri katika maswala ya utalii wa ndani

11.Kubainisha maeneo ya kihistoria yaliyopo ndani ya wilaya

12.Kuratibu vikundi mbalimbali vya mazoezi (jogging Clubs)

13.Ufuatiliaji wa ufundishaji wa vikundi vya sanaa na utamaduni mashuleni na vyuoni.

14.. Ni mdhibiti maonyesho mbalimbali ya sanaa zikiwemo :-

  • Filamu za sinema
  • Kanda za video ili kulinda maadili ya Taifa la Tanzania
  • Msajili msaidizi wa vikundi/Vilabu vya sanaa Utamaduni na michezo ndani ya wilaya .

Tangazo

  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI October 11, 2021
  • ZABUNI January 31, 2017
  • SOMA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA March 24, 2017
  • UTARATIBU WA UHAMISHO KWA WATUMISHI WA UMMA March 24, 2017
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • Program ya Dunia Yangu Bora Yawa Chachu Njema Mashuleni

    August 11, 2022
  • Maonesho ya Nane Nane kuwa Endelevu

    August 08, 2022
  • Fanyeni Maonesho ya Nane Nane kuwa na tija - Mh. Pinda

    August 04, 2022
  • RUWASA, MORUWASA shirikianeni na taasisis nyingine kuibua vyanzo vya maji

    August 02, 2022
  • Angalia zote

Video

HIFADHII YA WANYAMA MIKUMI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • MFUMO WA PLANREP

Kurasa za Mfanano

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • NECTA
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu:

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa