• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

BORESHENI MINADA NA MACHINJIO NDANI YA MIEZI MITANO- MPINA

Posted on: August 10th, 2018

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe.Luhaga Mpina amezitaka Halmashauri zote nchini kuboresha na kukarabati Machinjio,Milaro, Malambo, Majosho pamoja na minada ya Mifugo kwa kuweka huduma muhimu kama vile vyoo, umeme na sehemu za kuuzia vyakula ili kufanya minada ya mifugo kuwa ya kisasa na yenye tija.

 “Tumetoa miezi mitano tu kwa Halmashauri zote nchini kukarabati miundombinu ya Majosho, Malambo,Machinjio pamoja na Minada yote ikarabatiwe iwe bora na yenye huduma zote muhimu na Halmashauri itakayoshindwa kufanya hivyo serikali itasitisha ukusanyaji wa mapato unaofanywa na Halmashauri husika na kuikabidhi kwa serikali kuu.” Alisema Mpina.

Katika hatua nyingine Mpina alitoa siku saba kwa Makatibu wakuu wa Wizara za Mifugo na Uvuvi na Kilimo kueleza ni kwa nini mbegu za mazao zinauzwa kwa bei ghali ambayo inafikia shilingi 6,000/= kwa kilo na uhamilishaji wa mifugo kuwa na bei kubwa ambapo amesema ng’ombe mmoja anahamilishwa kwa zaidi ya shilingi 22,000/=

Siku chache za nyuma katika kipindi cha maonesho ya Nane Nane Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Kebwe Stephen Kebwe , amesema kuna maendeleo makubwa ya ukusanyaji wa mapato ya Nanenane Kanda ya Mashariki ambapo Sekretarieti za Mikoa huendesha na kusimamia maonesho hayo ambapo kumekuwa na ongezeko la ukusanyaji wa mapato kwa mwaka 2017 takribani shilingi Mil. 200 zilikusanywa wakati mwaka 2016 ambapo maonesho hayo yalikuwa yanaendeshwa na TASO zilikusanywa shilingi Mil.70 tu.

Aidha katibu wa kamati ya maandalizi ya NaneNane kanda ya Mashariki Bw. Ernest Mkongo amesema changamoto zote zilizojitokeza mwaka huu zitafanyiwa kazi ikiwa ni pamoja na kuhimiza wadau kujenga mabanda ya kudumu pamoja na kuziba sehemu za wazi kuzunguka uwanja wa maonesho ili kuziba mianya ya mapato inayopotea kutokana na watu kuingia bila kutoa kiingilio pamoja na kushirikiana na uongozi wa Mkoa na taasisi zake katika kufanikisha uboreshaji bwawa la Mindu ili kutatua changamoto ya maji katika uwanja wa maonesho wa NaneNane.

Tangazo

  • TANGAZO LA MKUTANO WA BARAZA LA WAHE. MADIWANI May 22, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • WAUGUZI WATAKIWA KUWA WAADILIFU MAHALI PA KAZI

    May 30, 2025
  • WAHE. MADIWANI WAISHUKURU SERIKALI YA AWAMU YA SITA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

    May 30, 2025
  • KILOSA YAJIPANGA KUTATUA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI

    May 28, 2025
  • VITENGO VYA HABARI SERIKALINI VIIMARISHWE KWA KUFANYA MAWASILIANO YA KIMKAKATI

    May 24, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa