• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mipango
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mifungo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

CHF yafanya mabadiliko katika mchango wa kadi za mfuko wa bima ya afya

Posted on: July 12th, 2018

Imebainika kuwa mchango wa mwanachama kwa ajili ya mfuko wa afya ya jamii CHF iliyoboreshwa gharama zake zimebadilika kutoka shilingi 10,000 hadi 30,000 kwa kaya kwa mwaka ikiwa ni mwongozo uliotolewa katika waraka namba moja wa maboresho ya mfuko wa afya ya jamii CHF ambao umeanza kutumika rasmi hapa nchini kuanzia tarehe 01/05/2018.

Hayo yamebainishwa Julai 12, 2018 na Mratibu wa CHF iliyoboreshwa Wilaya ya Kilosa Maxmillan Ndwangira katika mafunzo ya siku mbili kwa maafisa waandikishaji wa CHF iliyoboreshwa ambapo amesema kuwa mabadiliko hayo wilayani Kilosa yanatarajiwa kuanza tarehe 14/07/2018.

Ndwangira amesema kuwa kwasasa mafunzo hayo yanatolewa kwa maafisa waandikishaji kwa ngazi ya vijiji ambapo mafunzo hayo yanalenga kuihamasisha jamii kujiunga na mfuko huo lakini pia kujifunza matumizi ya mfumo mpya wa uandikishaji katika simu ujulikanao kama Insurance Management Information System(IMIS)

Aidha niseme kuwa matibabu kupitia kadi ya CHF iliyoboreshwa yatakuwa yakipatikana kuanzia ngazi ya zahanati, kituo cha afya, hospitali ya wilaya na hospitali ya mkoa kwa mfumo wa rufaa

Naye mwezeshaji wa mafunzo hayo James Kidumba kutoka mradi wa HPSS amesema lengo la waraka huo ni kuleta tija na ufanisi katika uratibu na utoaji huduma ya mfuko wa jamii ili kufikia malengo ya kitaifa na kwamba wananchi ambao wameshalipia mchango huo lakini bado hawajapokea kadi zao watapatiwa kadi hizo kwa gharama ile waliyolipia awali.

Tangazo

  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI October 11, 2021
  • ZABUNI January 31, 2017
  • SOMA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA March 24, 2017
  • UTARATIBU WA UHAMISHO KWA WATUMISHI WA UMMA March 24, 2017
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • Mfumo wa TAUSI watambulishwa kwa wafanyabiashara

    March 23, 2023
  • Shule ya Msingi Tambukareli yaanza kutumika rasmii

    March 06, 2023
  • Shule ya Msingi Tambykareli yaanza kutumika rasmi

    March 06, 2023
  • DC SHAKA ASISITIZA UONGOZI WA PAMOJA

    March 01, 2023
  • Angalia zote

Video

HIFADHII YA WANYAMA MIKUMI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • MFUMO WA PLANREP

Kurasa za Mfanano

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • NECTA
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737-847-880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa