• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

DC SHAKA AKABIDHI PIKIPIKI KWA MAAFISA MIFUGO WILAYANI KILOSA

Posted on: February 2nd, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Mhe. Shaka Hamdu Shaka amekabidhi pikipiki tano (5) aina ya boksa kwa maafisa mifugo kutoka kata za Magomeni, Masanze, Kilangali, Madoto na Parakuyo  kwa ajili ya kurahisisha utendaji kazi.

Akikabidhi pikipiki hizo zilizotolewa na wizara ya kilimo, mifugo na uvuvi  Februari 1, 2024 kwa maafisa ugani hao amewataka Kwenda kuzitunza na kuzifanyia kazi iliyokusudiwa ambapo amesema  pikipiki hizo zitawasaidia kurahisisha usafiri katika maeneo yao ya kazi  ikiwa ni jitihada ya kuhakikisha wanafikia wafugaji na kutatua changamoto zinazowakabili ikiwemo migogoro  ya wafugaji na wakulima.

DC Shaka ameongeza kuwa katika sekta ya kilimo na mifugo kumekuwa na changamoto mbalimbali ya ufanyaji wa tathimini ya mazao na kwamba pindi yanapoliwa au kuharibiwa na mifugo hivyo maafisa hao wanapaswa kuboresha utendaji kazi wao na kuhakikisha wanatenda haki pindi wanapofika eneo la migogoro.

Pia amewataka watumishi hao kushirikiana na kufanya kazi kwa uadilifu na kujiepusha na masuala mazima ya rushwa kwani ni ukiukwaji wa sheria.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa halmashsuri ya Wilaya ya kilosa Ndg. Michael J Gwimile ameishukuru serikali ya awamu ya sita kwa kuwaletea vitendea kazi hivyo kwa maafisa ugani hao na kusema kuwa itaongeza ufanisi katika maeneo yao ya kazi hususan katika suala zima la ukusanyaji wa Mapato ya  Halmashauri  katika sekta hiyo.

Aidha Mkuu wa divisheni ya kilimo,uvuvi na mifugo wilayani kilosa Ndg. Elia Shemtoe amesema pikipiki hizi zitakuwa chachu na kuwafanya watumishi hawa kufanya kazi kwa ufanisi mkubwa kwa kuyafikia maeneo ambayo awali yalikuwa hayafikiki kirahisi  kutokana na uchache wa pikipiki hizo.



Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa