• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

DC SHAKA AMEWATAKA WENYEVITI WA VIJIJI NA VITONGOJI KUONGOZA KWA WELEDI

Posted on: December 16th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Mhe. Shaka Hamdu Shaka amewataka Wenyeviti wa Vijiji na Vitongoji waliochaguliwa 27, Novemba 2024 kuhakikisha wanaweka mazingira mazuri ya kuwaongoza wananchi ikiwa ni pamoja na kujiepusha na michango inayowakandamiza wananchi.

Mhe. Shaka ameyasema hayo 16 Disemba, 2024 akiwa ni mgeni rasmi katika ufunguzi wa mafunzo ya siku mbili ya kuwajengea uwezo Wenyeviti hao yaliyofanyika katika Tarafa ya Magole.

Aidha Mhe. Shaka amewata kuitumia vizuri dhamana waliyopewa na wananchi na kuwataka kuacha mara moja kuchangisha michango isiyo na tija kwani imekuwa ni changamoto kwa wananchi wasiokuwa na uwezo wa kutoa michango hiyo.

Sambamba na hayo, pia amewaasa viongozi hao kuhakikisha kuwa wanapoitisha mikutano ya Vijiji au Vitongoji wahakikishe kuwa wanawasomea wananchi mapato na matumizi ili kuondoa malalamiko kwa wananchi.

Ameongeza kuwa Viongozi hao walioingia madarakani wajitahidi kuepukana na kutoshiriki kuwa chanzo cha migogoro ya wakulima na wafugaji na badala yake wawe mstari wa mbele kuhakikisha wanatenda haki kwa pande zote mbili ili kuepusha migogoro hiyo iliyopo ndani ya Wilaya ya Kilosa.

Kwa Upande wake Mratibu wa mafunzo hayo, Mhadhili Mwandamizi kutoka Chuo cha Hombolo Dkt. Michael Msendekula amesema kuwa kupitia mafunzo hayo ya siku mbili washiriki watapata uelewa kupitia mada mbalimbali kama vile sheria zinazohusiana na serikali za mitaa, mikutano na vikao katika mamlaka ya serikali za mitaa, Muundo, mfumo pamoja na majukumu yao kama wenyeviti wa vijiji na wenyeviti wa vitongoji, Usimamizi wa miradi na pia namna bora ya kutatua migogoro ya ardhi katika maeneo yao.

Aidha kwa Upande wake Afisa Uchunguzi kutoka Ofisi ya Takukuru Wilaya ya Kilosa Bwana Emiri Okelo amesema kuwa Viongozi hao wanatakiwa kujiepusha na vitendo vya rushwa huku akiwataka kutenda haki ili kuepukana na madhara ya kutoa au kupokea rushwa.

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa