• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

DC SHAKA ASISITIZA KUMALIZWA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI

Posted on: February 17th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Shaka H Shaka  kupitia kikao cha Baraza la Madiwani la kujadili na kupitisha rasimu ya mpango wa bajeti kwa mwaka wa Fedha 2023/2024  ametoa rai ya kumalizwa kwa migogoro ya wakulima na wafugaji,  kwa kila mmoja kuwajibika eneo lake kwa kuhakikisha haki inatendeka kwa wakulima na wafugaji badala baadhi ya ya watendaji wa kata na vijiji pamoja na  madiwani kuwa wanufaika wa migogoro hiyo, kwani kuwa wanufaika migogoro hiyo itapelekea kutoisha.

Shaka amesema hayo Februari 16 mwaka huu ambapo amesema kuwa katika uongozi wake hatakubali kumvumilia kiongozi asiye mwadilifu na kuwa chanzo cha migogoro kwa kuendekeza rushwa bali kila mmoja ahakikishe  anafuata sheria, kanuni na taratibu za kimaadili kila mmoja katika eneo lake, huku akisisitiza kuwepo kwa juhudi za makusudi katika kubuni vyanzo vipya vya mapato pamoja na usimamizi wa ukusanyaji wa mapayto hayo, ambapo ametaka fedha yoyote inayokusanywa kupelekewa benki kama zilivyo taratibu badala ya kuanza kuzitumia bila kufuata utaratibu.


Aidha katika baraza hilo Shaka ameishukuru serikali ya awamu ya sita ckwa kuwatazama watendaji wa kata kwa jicho la tatu na kuwapatia pikipiki ambazo anaamini zitawasiadia katika utendaji wa majukumu yao ya kila siku kwani uwepo wa pikipiki hizo unatarajiwa kutatua changamoto ya usafiri hususani kwenye maeneo yasiyofikika kwa urahisi kutokana na kukosa usafiri.

Katika kikao hicho cha baraza la madiwani limepitia mapitio ya bajeti ya mpango na bajeti kwa mwaka wa fedha 2021/2022 na kipindi cha Julai- Desemba 2022 kwa mwaka wa fedha 2022/2023, lakini pia limepitisha kwa pamoja Rasimu ya Mpango na Bajeti ya Halmashauri kwa mwaka wa Fedha 2023/2024 ya shilingi bilioni 61, 579,299,755

Naye Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Mh. Wilfred Sumari amesema kuwa Serikali  ya Wilaya ya Kilosa ilishatoa maelekezo kila kijiji na kata kufanya utambuzi yakinifu wa wa mifugo na wafugaji kwa kijiji na kata,  sambamba na kuunda kamati za usuluhishi pamoja na kuondoa mifugo ambayo imeingia bila kibali lakini baadhi ya viongozi wa kata wamekuwa wakikaidi agizo hilo kwa kutolitekeleza kwa wakati.

Sumari amesema ni muda muafaka sasa wa kuanza kuchukua hatua kwa wale wote ambao hawajatekeleza maagizo hayo na kusababisha wilaya kuendelea kuwa katika migogoro ambayo kwa kiasi kikubwa inaweza kuzuilika kwa kila mmoja kutekeleza majukumu yake kwa wakati kwa kufuta sheria, taratibu na kanuni

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa