• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

DC SHAKA AWATAKA VIONGOZI KUHAMASISHA WANANCHI KUSHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA

Posted on: August 30th, 2024


Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Mhe Shaka Hamdu Shaka amewataka Viongozi wa ngazi zote kuhamasisha na kuhabarisha Wananchi juu ya uwepo wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotajariwa kufanyika Novemba mwaka huu ili waweze kujitokeza kwa Wingi katika kushiriki kuanzia kujiandikisha mpaka kugombea nafasi mbalimbali za uongozi.

Mhe. Shaka amesema hayo 29 Agosti, 2024 wakati wa Mkutano wa Baraza la Madiwani wa kupitia na kujadili Taarifa mbalimbali za utekelezaji wa Shughuli za Halmashauri kwa kipindi cha Robo ya nne (April-Juni) kilichofanyika katika Ukumbi wa FDC Ilonga,ambapo amewataka viongozi hao kuhamasisha Wanawake na Watu wenye ulemavu watakaokuwa na sifa za kugombea nafasi mbalimbali za Uongozi katika Vijiji na Vitongoji kuchukua fomu na kuomba nafasi za uongozi.

Amewataka Wahe. Madiwani kutumia Mikutano yao ya Hadhara kuwahamasisha Wananchi kujitokeza na kutumia haki yao ya Kidemokrasia ya kuchagua Viongozi wa Vijiji,Vitongoji na Mitaa na Kusema kuwa katika uchaguzi huo hali ya Usalama na Amani itazingatiwa ili uwe Dira na Kioo cha Uchaguzi Mkuu  wa mwaka 2025 wa Rais,Wabunge Pamoja na Madiw

Mhe. Shaka amesema kuwa Ustawi wa Mwananchi Wilayani Kilosa unategemea Busara za Baraza hilo hivyo amewaasa kila mmoja kwa nafasi yake ahakikishe malengo yaliyowekwa yanafikiwa kwa manufaa ya wana Kilosa na Taifa kwa ujumla.

Kwa upande mwingine amemshukuru Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri na Baraza lake la Wahe Madiwani, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri na Timu ya Menejimenti kwa ushirikiano unaoendelea kuoneshwa  katika mambo mbalimbali ya Maendeleo, na pia kufanikisha Ziara ya Kikazi ya Mhe Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan Wilayani Kilosa na kwamba Ziara hiyo imekuwa kielelezo kikubwa cha Umoja na Mshikamano kati ya viongozi wa ngazi zote za Wilaya.

Amesema kuwa ni matumaini yake kuwa katika Zoezi zima la uchaguzi Umoja na mshikamano huo utaimarika maradufu.

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa