• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

DED KILOSA AWATAKA WAANDIKISHAJI NGAZI YA JIMBO KUZINGATIA MAFUNZO WALIYOPEWA ILI KUFANIKISHA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA.

Posted on: February 23rd, 2025

Watendaji wa Uboreshaji ngazi ya Jimbo wametakiwa kuzingatia mafunzo waliyoyapata ili kufanikisha zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Mpiga Kura linalotarajia kuanza tarehe 01 hadi 07 Machi, 2025 katika Jimbo ya Kilosa na Mikumi.

Wito huo umetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Ndg. Beatrice Mwinuka wakati akizungumza na watendaji hao katika semina ya siku mbili ya kuwajengea uwezo iliyofanyika tarehe 22- 23 Machi, 2025 katika ukumbi wa chuo cha Ualimu Ilonga

Bi. Mwinuka amesema kuwa  Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi pamoja na serikali kwa ujumla inategema utendaji kazi bora wa watendaji hao katika kufanikisha zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Mpiga Kura kwani zoezi hilo ndilo litakalotoa dira kuelekea uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba, 2025.

Aidha amewataka watendaji hao kuzingatia mafunzo waliyopatiwa na kuwasihi kuendelea kuwasiliana kwa karibu na mamlaka husika pale inapotokea changamoto yoyote.

Akifunga mafunzo hayo Afisa Mwandikishaji wa Jimbo la Mikumi na Kilosa Ndg. Betuely Ruhega amewapongeza watendaji hao kwa kuaminiwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kusimamia Uandikishaji huo huku akiwataka kufuata miongozo na mafunzo waliyoyapa ili kufanikisha Uboreshaji huo.

Katika hatua nyingine, amewakumbusha kuzingatia kiapo walichoapa lakini pia maadili ya kazi hiyo ikiwa ni pamoja na kuepuka vitendo vya rushwa lakini pia kutunza vifaa watakavyokabidhiwa kwa ajili ya utekelezaji wa zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Mpiga Kura.

Akitoa salamu za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mjumbe wa INEC  Ndg. Francis Sang’wa amewataka watendaji hao kuhakikisha wananchi wote wenye sifa za kujiandikisha, wanajiandikisha ili wapate haki yao ya msingi ya kushiriki uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 2025.

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa