• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mipango
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mifungo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

Dumisheni amani kipindi cha mavuno - DC Kilosa

Posted on: June 20th, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Adam Mgoyi ametoa wito kwa wakulima na wafugaji kuhakikisha msimu huu wa mavuno unapita kwa usalama pasipo migogoro ambayo husababisha mapigano baina ya wakulima na wafugaji na kusababisha athari mbalimbali ikiwemo vifo na upotevu mazao jambo litakalosababisha uwepo wa amani nyakati zote na majira yote na kwamba matatizo ya Kilosa yanatatuliwa na wanakilosa wenyewe.

Mkuu wa Wilaya amesema kuwa athari ambazo zimekuwa zikijitokeza kwa miaka ya nyuma kwa asilimia kubwa kwa mwaka 2017 zilipungua kutokana na ushirikiano ulioonyeshwa baina ya Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya, Kamati ya Amani Wilaya, wakulima na wagufaji hivyo kwa mwaka huu wa 2018  anatoa rai kwa wote kuongeza juhudi za kudumisha amani ili hali ya mapigano isijitokeze tena.

Sambamba na hayo amewataka wafugaji kumiliki mifugo wanayoweza kuimudu pamoja na kuacha mara moja tabia ya kuwaachia  watoto mifugo kwani watoto hawana uwezo wa kuilinda, hivyo kusababisha mifugo kuingia mashambani na kula mazao ya wakulima, na amebainisha kwamba atakayebainika kuwaachia watoto mifugo Kamati ya Ulinzi na Usalama, viongozi wa tarafa na kata watakamata mifugo pamoja na wahusika kisha kuwashughulikia kisheria ikiwemo kushtakiwa kwa kukiuka sheria ya mwaka 1978 inayowalinda watoto na kutaka wasinyimwe haki zao za msingi ikiwemo haki ya kupata elimu.

Naye Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Kessy Mkambala amesisitiza umuhimu wa kufuata sheria, taratibu na miongozo ikiwemo kufanyika kwa mikutano na vikao vya mara kwa mara ili kujadili maendeleo ya maeneo yao pamoja na kutatua changamoto zinazojitokeza ama kuwakabili.

Tangazo

  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI October 11, 2021
  • ZABUNI January 31, 2017
  • SOMA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA March 24, 2017
  • UTARATIBU WA UHAMISHO KWA WATUMISHI WA UMMA March 24, 2017
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • Program ya Dunia Yangu Bora Yawa Chachu Njema Mashuleni

    August 11, 2022
  • Maonesho ya Nane Nane kuwa Endelevu

    August 08, 2022
  • Fanyeni Maonesho ya Nane Nane kuwa na tija - Mh. Pinda

    August 04, 2022
  • RUWASA, MORUWASA shirikianeni na taasisis nyingine kuibua vyanzo vya maji

    August 02, 2022
  • Angalia zote

Video

HIFADHII YA WANYAMA MIKUMI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • MFUMO WA PLANREP

Kurasa za Mfanano

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • NECTA
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu:

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa