• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

DUMISHENI AMANI NA UTULIVU KWA KUTATUA VYANZO VYA MIGOGORO

Posted on: June 24th, 2020

Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Adam Mgoyi amewataka viongozi wa tarafa, kata na vijiji pamoja na kamati za amani zilizoko katika kata na vijiji kukaa kwa pamoja kuweka mikakati ya pamoja ya kudumisha amani ana utulivu ambayo imeanza kupotea kutokana na migogoro mbalimbali ambayo imeanza kujitokeza.


Mgoyi ametoa maagizo hayo Juni 24 mwaka huu katika kikao chake na maafisa tarafa, wajumbe wa kamati ya amani Wilaya pamoja na watendaji wa kata na kusema kuwa kila mmoja atimize wajibu wake kwa kuhakikisha amani inapatikana kwa kubainisha vyanzo vya migogoro na kuitafutia suluhu jambo litakalosaidia kuwepo kwa amani huku akitaka kusimamiwa kwa sheria ndogo ndogo na kuhakikisha zinafanya kazi lakini pia kuhuishwa kwa kamati za amani huku akiagiza kukamatwa mara moja kwa wafugaji waliobainishwa kuwa ni wakorofi na kutotii sheria.  

Nao wajumbe walioshiriki kikao hicho wamebainisha vyanzo mbalimbali vya migogoro hiyo ikiwemo hulka ya kuhama hama kwa wafugaji ili kutafuta malisho, uuzaji wa mabua mashambani, mifugo kuingizwa mashambani pamoja, tabia ya uongo inayojitokeza hususani zinapofanyika tathmini zisizo sahihi pamoja na umiliki wa mashamba feki baina ya wakulima.

Pamoja na hayo viongozi wa dini walioshiriki kikao hicho wamewasihi viongozi hao kwa ngazi ya tarafa, kata na vijiji kuendelea kudumisha amani na utulivu hususani kipindi hiki cha kuelekea kwenye uchaguzi mkuu huku wakitaka kukemewa kwa dhambi ya unafiki bali watu wawe wa kweli na kutenda haki.

Wakati huo huo Katibu Tawala Wilaya Yohana Kasitila amesisitiza suala zima la uwajibikaji na uadilifu huku akisema kuwa wajibu wa kwanza wa viongozi hao ni kuhakikisha uwepo wa amani na utulivu katika maeneo yao kwani asilimia kubwa ya migogoro hutokana na kukosa uadilifu lakini pia ametaka kuchukuliwa kwa hatua stahiki mapema kwa wale wote wanaosababisha uvunjifu wa amani badala ya kusubiri tatizo liwe kubwa.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI KILOSA DC June 06, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • DC SHAKA AWATAKA VIONGOZI WA VIJIJI KUCHUKUA HATUA DHIDI YA VITENDO VYA UVUNJIFU WA AMANI KIDUHI

    June 19, 2025
  • DC SHAKA AWATAKA VIONGOZI NGAZI YA KATA NA VIJIJI KUSIMAMIA NA KUFUATILIA MIRADI YA MAENDELEO IPASAVYO

    June 19, 2025
  • DC SHAKA AWATAKA WAZAZI / WALEZI KUWAJIBIKA KATIKA MALEZI BORA YA WATOTO

    June 16, 2025
  • TIMU YA MENEJIMENTI KILOSA YAFANYA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    June 12, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa