• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

ELIMU YA UTAMBUZI WA FEDHA HALALI YATOLEWA KILOSA

Posted on: May 31st, 2019

Mei 31 mwaka huu Watumishi wa Umma wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa pamoja na wafanyabiashara wilayani Kilosa wamepewa elimu ya utambuzi wa noti halali ikiwa ni tahadhari ya uwepo wa noti bandia zilizoko mitaani ambazo hazina thamani yoyote.

Elimu hiyo imetolea na Afisa wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) kutoka mkoani  Dodoma  Lilian Silaa ambapo amesema kuwa ni vema jamii ikafahamu kuwa kughushi ama kumiki fedha bandia kwa nia ya kuzitumia ni kosa la jinai ambapo yoyote atakayebainika atashtakiwa kwenye vyombo vya kisheria na endapo mtu akishuku uwepo wa noti bandia ni vema akaipeleka benki ama kituo cha polisi kwa uthibitisho.

Akieleza hatua za kutambua noti halalai amesema ni vema ukaichunguza fedha husika kwa umakini, fedha hiyo inapopapaswa ni lazima uhisi mparuzo kwenye maneno yaliyoandikwa kwa maandishi maalum, fedha hiyo pia itambulike  kwa kuangalia sura ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere inayoonekana unapoimulika noti kwenye mwanga pamoja na kutumia taa maalum yenye mwanga wa zambarau kuhakiki alama maalum zilizoonyeshwa kwenye vipeperushi na matangazo yanayohusu elimu ya fedha halali.

Aidha ameongeza kusema ni vema mwananchi au mtumiaji wa fedha akakagua utepe maalum  kwenye noti ya shilingi 500/=, 2000/=, 5,000/= na 10,000/= unaoonekana kama madirisha yenye umbo la almasi ambao hubadilika badilika noti inapogeuzwa ambapo noti ya 1,000/= utepe wake ni tofauti.

Akihitimisha elimu hiyo Silaa ametoa wito kwa wananchi  wenye noti zilizokatika kuzipeleka benki ambapo zitapokelewa na kwamba pesa zinazopokelewa ni zile zilizokatika na kutozidi vipande vinne huku akisisitiza watu kutouza fedha hizo kwa wajanja ambao huzinunua kwa kiwango pungufu ambapo wakishanunua huzipeleka benki na kupata fedha iliyokamilika na kupata faida huku muuzaji akipata hasara.

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa