• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mipango
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mifungo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

ELIMU YA UTAMBUZI WA FEDHA HALALI YATOLEWA KILOSA

Posted on: May 31st, 2019

Mei 31 mwaka huu Watumishi wa Umma wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa pamoja na wafanyabiashara wilayani Kilosa wamepewa elimu ya utambuzi wa noti halali ikiwa ni tahadhari ya uwepo wa noti bandia zilizoko mitaani ambazo hazina thamani yoyote.

Elimu hiyo imetolea na Afisa wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) kutoka mkoani  Dodoma  Lilian Silaa ambapo amesema kuwa ni vema jamii ikafahamu kuwa kughushi ama kumiki fedha bandia kwa nia ya kuzitumia ni kosa la jinai ambapo yoyote atakayebainika atashtakiwa kwenye vyombo vya kisheria na endapo mtu akishuku uwepo wa noti bandia ni vema akaipeleka benki ama kituo cha polisi kwa uthibitisho.

Akieleza hatua za kutambua noti halalai amesema ni vema ukaichunguza fedha husika kwa umakini, fedha hiyo inapopapaswa ni lazima uhisi mparuzo kwenye maneno yaliyoandikwa kwa maandishi maalum, fedha hiyo pia itambulike  kwa kuangalia sura ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere inayoonekana unapoimulika noti kwenye mwanga pamoja na kutumia taa maalum yenye mwanga wa zambarau kuhakiki alama maalum zilizoonyeshwa kwenye vipeperushi na matangazo yanayohusu elimu ya fedha halali.

Aidha ameongeza kusema ni vema mwananchi au mtumiaji wa fedha akakagua utepe maalum  kwenye noti ya shilingi 500/=, 2000/=, 5,000/= na 10,000/= unaoonekana kama madirisha yenye umbo la almasi ambao hubadilika badilika noti inapogeuzwa ambapo noti ya 1,000/= utepe wake ni tofauti.

Akihitimisha elimu hiyo Silaa ametoa wito kwa wananchi  wenye noti zilizokatika kuzipeleka benki ambapo zitapokelewa na kwamba pesa zinazopokelewa ni zile zilizokatika na kutozidi vipande vinne huku akisisitiza watu kutouza fedha hizo kwa wajanja ambao huzinunua kwa kiwango pungufu ambapo wakishanunua huzipeleka benki na kupata fedha iliyokamilika na kupata faida huku muuzaji akipata hasara.

Tangazo

  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI October 11, 2021
  • ZABUNI January 31, 2017
  • SOMA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA March 24, 2017
  • UTARATIBU WA UHAMISHO KWA WATUMISHI WA UMMA March 24, 2017
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • Kilosa kufanya sensa ya mifugo

    December 29, 2022
  • Kilosa kunufaika na mradi wa BOOST

    December 24, 2022
  • Kilosa yaendelea kutambua juhudi za Serikali kwa Watumishi wa Umma na Wananchi-DED Kilosa

    December 19, 2022
  • -Serikali haitosita kulinda Rasilimali watu kwa maslahi ya Maendeleo ya Taifa- Mh. Mhagama

    December 20, 2022
  • Angalia zote

Video

HIFADHII YA WANYAMA MIKUMI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • MFUMO WA PLANREP

Kurasa za Mfanano

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • NECTA
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737-847-880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa