• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

HALMASHAURI YA (W) YA KILOSA YAKUSANYA NA KUPOKEA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 18

Posted on: November 13th, 2024

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa  Mhe. Wilfred Sumari amesema kuwa  katika Kipindi cha robo ya kwanza Julai –Septemba 2024/2025 Halmashauri iliweza kukusanya na kupokea jumla ya Shilingi za kitanzania (18,235,984,740.77 )Bilioni 18,milioni 235, laki 984  elfu 740 na senti 77 sawa na asilimia 103.74 ya makadirio ya robo ya kwanza ambayo ni sawa na asilimia 25.93 ya makadirio ya mwaka wa fedha 204/2025.

Mhe Sumari amesema hayo wakati akihutubia katika Mkutano wa kawaida wa  Baraza la Madiwani uliolenga kupitia na kujadili taarifa za utekelezaji wa shughuli za Halmashauri kwa kipindi cha Robo ya kwanza kwa mwaka wa fedha 2024/2025 kilichofanyika 13,novemba 2024.


Amesema kuwa katika kipindi cha Robo ya kwanza 2024/2025 Halmashauri imetumia kiasi cha Shilingi  (14,312,161,531.91) Bilioni 14,milioni 312,laki 161 na 531 na senti 91 sawa na asilimia 81.41 ya Makadirio kwa robo ya kwanza na asilimia 20.35 ya makadirio kwa Mwaka wa fedha 2024/2025 ambapo ameendelea kusisitiza Menejimenti kuendelea kusimamia ukusanyaji wa mapato hususan katika vyanzo vipya vilivyoibuliwa kama vile stendi ya Dumila na Mikumi.

Akizungumzia  juu ya utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo Mhe Sumari amesema kuwa katika bajeti ya  mwaka wa fedha 2024/2025 Halmashauri imekadiriwa  kutumia jumla ya shilingi (17,191,419,359.63) Bilioni 17,milioni 191 na laki 419 na mia 359 na senti 63,katika utekelezaji wa Miradi mbalimbali ya Maendeleo kati ya Fedha hizo Shilingi (2,240,910,108.80) Bilioni 2, milioni 240,laki 910 na shilingi 108 na senti 80 ni fedha za makusanyo ya ndani ya  Halmashauri na shilingi (9,626,353,250.83) Bilioni 9, Milioni 626,laki 353 na mia 250na senti 83 ni fedha za Ruzuku kutoka Serikali Kuu na Shilingi (5,324,156,000.00) Bilioni 5,milioni 324,laki 156 elfu zikiwa ni fedha kutoka kwa Wahisani.

Kwa upande mwingine Mwenyekiti amewataka Wahe. Madiwani kuendelea kuhamasisha  Wananchi kujitokeza  kwa Wingi Kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa kupiga kura na kuwachagua viongozi wanaowataka kwani ni haki yao ya msingi.

Sambamba na hayo amewataka Watendaji wa Kata na Vijiji wakiwa kama wasimamizi wasaidizi wa Kuendelea kuhamasisha Wananchi katika maeneo yao kuona Umuhimu wa kupiga kura na kuchagua viongozi hao wa Muhimu ifikapo 27,Novemba 2024.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Kilosa amemshukuru Mwenyekiti wa Hamashauri pamoja na Wahe.Madiwani wote kwa kazi kubwa wanayoifanya ya  kuisimamia Halmashauri na kuhakikisha kwamba Malengo na dhamira ya Serikali inatimizwa na matokeo chanya kuweza kupatikana.

Aidha ametoa shukrani kwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzani kwa kuleta pesa nyingi za Miradi ya Maendeleo Wilayani hapa hali inayopelekea kupiga hatua katika Nyanja zote ikiwemo Kiuchumi ,Kijamii na Kisiasa.

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa