• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

HALMASHAURI YA WILAYA YA KILOSA YAENDELEA KUTEKELEZA ILANI YA CCM

Posted on: March 3rd, 2020

Katika utekelezaji wa ilani ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) Serikali ya awamu ya tano imeipatia Wilaya ya Kilosa kiasi cha shilingi milioni mia sita arobaini na nane kwa ajili ya ukarabati/ ujenzi katika chuo cha Maendeleo wilayani Kilosa ikiwa ni sehemu ya kuinua sekta ya elimu ili kuwaweza watoto wa Wilaya ya Kilosa na nchi nzima kiujumla kujifunza maarifa mbalimbali.

Hayo yamebainishwa Machi 3 mwaka huu na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Asajile Mwambambale wakati wa kikao cha Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Wilaya ambapo amesema kuwa licha ya ujenzi huo wa chuo wilaya imeendelea kufanya miradi mbalimbali ikiwemo ujenzi wa wodi mbili ya kina baba na kinamama katika kituo cha Afya Mikumi kupitia mapato ya ndani ambapo pia amesema kuwa wodi ya kinamama katika Hospitali ya Wilaya ya Kilosa imeanza kutumika ambapo kupitia wodi hiyo huduma za afya zitaboreshwa hususan huduma za kinamama.


Aidha amesema kuwa kuhusiana na mwelekeo wa matumizi ya Halmashauri katika matumizi ya fedha zake za mapato ya ndani ambapo Halmashauri ipo katika mgawanyo wa Halmashauri zinazopaswa kutumia asilimia 40 ya mapato yake ya ndani kwa ajili ya shughuli za maendeleo ambapo kwasasa imefikia asilimia 48 ya mapato ya ndani ikiwa ni ziada ya 8% hiyo ikionyesha jambo la maendeleo ni la kipaumbele katika Wilaya ya Kilosa.


Sambamba na hayo amesema kuwa Serikali katika kuboresha huduma za afya imeipatia Halmashauri magari ya dharura mawili yaliyopaswa kwenda hospitali ya St. Kizito ambapo timu ya menejimenti iliazimia kutokana na uwepo wa kituo cha afya cha Mikumi magari hayo yamehamishiwa katika kituo cha Afya Mikumi ili yaweze kuwasaidia wananchi wa maeneo hayo.

Aidha ameonyeshwa kusikitishwa kwake na lugha ambazo zimekuwa zikitumika kuhusiana na fedha ambazo zilikusanywa kupitia mashine za POS jambo ambalo lilijitokeza 2016 na ambapo Halmashauri imekuwa ikilishughulikia kwa muda mrefu na kwamba kwa nafasi ya ukurugenzi amekuwa akilifatilia ambapo hadi sasa mambo yaliyobainika ikiwemo kuonekana fedha hizo kuchukuliwa na kupelekwa benki kwa utambulisho tofauti, baadhi ya viambata kusoma tofauti hivyo kupelekea kushirikisha wataalam toka TAMISEMI ili kupata uhalisia wa deni na hatua kuchukuliwa kwa waliobainika ikiwemo kupelekwa katika vyombo vya sheria.


Sambamba na hayo Mwambambale ameomba jambo hilo la defaulters kuzungumzwa kwa tahadhari sana kwani limekuwa likisemwa tofauti na kusababisha kumchafua Mkurugenzi na Wilaya kiujumla na kwamba si vema kuongea maneno yasiyofaa iwapo mtu hana ushahidi ambapo pia ameuomba uongozi wa Mkoa na Wilaya kutambua kuwa watumishi waliobainika katika deni hilo hatua stahiki zimeanza kuchukuliwa na kuomba nguvu iongezwe kwa pamoja ili kupata fedha hizo kwa ajili ya shughuli za maendeleo.

 

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa