• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

Hatua kali kuchukuliwa kwa wafugaji wanaolisha mazao ya wakulima

Posted on: July 8th, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Alhaj Majid Hemed Mwanga amepiga marufuku wafugaji wote wa wilayani hapa kuacha kuingiza mifugo yao kwenye mashamba ya wakulima na kuharibu mazao huku akiahidi kukomesha kukomesha tabia hiyo ambayo imekuwa ya muda mrefu.

Hayo yamejiri Julai 06 mwaka huu kwenye mkutano wa wadau wa kilimo na mifugo uliofanyika kwa lengo kuwakutanisha na kujadili kwa pamoja changamoto zinazowakabili pande zote ambapo amesema kero kubwa ni wafugaji kulisha mazao ya wakulima na kusababisha hasara kwa wakulima huku fidia ikiwa haiendani na thamani ya mazao husika.

Mhe Majid Mwanga amesema kuwa chanzo cha migogoro hiyo ni viongozi ngazi za vijiji kushindwa kusimamia sheria na miongozo iliyopo pamoja na kupokea rushwa kutoka kwa wafugaji kisha kuingiza mifugo kijijini hivyo amewataka watendaji kuwajibika kwa kuchukua hatua vitendo vinavyochochea migogoro kwenye jamii na wao wasiwe chanzo cha tatizo.

Mhe Mwanga amewaagiza watendaji kata kusimamia sheria ndogo ya mwaka 2014 ambayo inambana mfugaji kuhakikisha mifugo haizuruli na ukikamatwa mfugo mmoja ni shilingi elfu ishirini kwani sheria hiyo ilitungwa mahususi kwa ajili ya kuondoa adha hivyo wasimamie vema sheria hiyo ili kukomesha maatukio hiyo.

Aidha amemtaka OCD Kilosa kukamata mifugo yote inayozurula na kuiuza jambo ambalo litakomesha uingizaji wa mifugo kwenye mashamba ya wakulima na kwamba suala hereni kwa mifugo ni agizo la Serikali ili kurahisisha utambuzi wa mifugo iliyopo katika wilaya hivyo wafugaji wahakikishe wanalikamilisha na hii itasaidia kukomesha tabia ya wizi na Afsa Mifugo atasimamia ili zoezi likamilike.

Hata hivyo amesema makundi ya wafugaji na wakulima ni makundi muhimu sana kwenye uchumi na maendeleo ya wilaya, hivyo ni lazima kwa Serikali kuchukua hatua pale ambapo kunahitaji nguvu aidha ya kimaendeleo au kuweka mambo sawa.

Tangazo

  • TANGAZO LA MAFUNZO YA UDEREVA WA MAGARI, PIKIPIKI NA BAJAJI September 30, 2025
  • TANGAZO LA TOZO September 10, 2025
  • TANGAZO LA KUKODISHA MASHAMBA YA HALMASHAURI September 11, 2025
  • MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA WA DARASA LA SABA November 23, 2023
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • WATUMISHI KILOSA WAJENGEWA UWEZO WA MATUMIZI YA MFUMO WA NEST

    October 09, 2025
  • WATUMISHI KILOSA WAHIMIZWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUFANYA MAZOEZI YA MWILI KILA JUMAMOSI YA WIKI

    October 04, 2025
  • DC SHAKA KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI KATA YA TINDIGA

    October 08, 2025
  • WANANCHI WILAYANI KILOSA WAHIMIZWA KUFANYA UCHUNGUZI WA AWALI WA SARATANI YA MATITI

    October 01, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa

  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AERO88
  • YAMITOTO
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • YAMITOTO
  • Slot Gacor
  • AXL777
  • AERO88
  • Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • Situs Toto
  • Slot Gacor
  • KOI200
  • SILVAWIN
  • AXL777
  • AXL777
  • YAMITOTO
  • NABITOTO
  • YAMITOTO
  • UFABET
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200