• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

HESLB YATOA ELIMU YA MIKOPO KWA WANAFUNZI WA SEKONDARI KILOSA

Posted on: July 30th, 2025

Katika juhudi za kuwaandaa wanafunzi kwa maisha ya baada ya shule, Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) kwa kushirikiana na Benki ya CRDB na wamiliki wa vituo vya huduma ya maandiko (stationery), imeendesha mafunzo maalum kwa wanafunzi wa shule za sekondari Mazinyungu, Mbumi, Kutukutu na Dendego, yaliyofanyika jana katika shule ya sekondari Mazinyungu, wilayani Kilosa.

Afisa Mikopo kutoka HESLB, Bi Farida Mwasse, aliwafundisha wanafunzi hao kuhusu hatua za kuomba mkopo wa elimu ya juu, masharti ya kupata mkopo, pamoja na faida zake  huku akibainisha kuwa mikopo hiyo inalenga kusaidia wanafunzi wanaotoka katika familia zenye uwezo mdogo kupata elimu ya juu kwa urahisi.

Kwa upande wake, Bi Graciana Mwinuka kutoka HESLB aliwaeleza wanafunzi kuwa kupata mkopo si tiketi ya ajira moja kwa moja, bali ni nyenzo ya kujiendeleza kielimu na kiujuzi na kusisitiza mkopo lazima ulipwe hata kama mhitimu hajapata ajira rasmi, hivyo aliwataka wanafunzi kusoma kwa bidii ili wafanikishe ndoto zao, hasa wale wanaosomea masomo ya sayansi waliotajwa kuwa na kipaumbele.

Kwa upande wake, Afisa Elimu Sekondari wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa, Bi. Milandu Kinyonga, alipongeza juhudi za serikali kupitia HESLB kwa kuwafikia wanafunzi wa vijijini na kwamba ushiriki wa wafanyakazi wa stationaries katika mafunzo hayo ni wa muhimu kwani huwasaidia wanafunzi katika maandalizi ya nyaraka sahihi za kuomba mkopo.

Mwalimu Mkuu wa shule ya Mazinyungu, Mwl. Masegese Robert, alitoa shukrani kwa HESLB kwa kutoa elimu hiyo muhimu kwa wanafunzi, kwani yamewaamsha wanafunzi kuelewa namna wanavyoweza kusonga mbele kielimu bila kikwazo cha kifedha. 

Kupitia mafunzo hayo, wanafunzi  akiwemo Sadamu Augustino na Josephine Mlossa wameonyesha kufurahia elimu waliyoipata na kueleza kuwa sasa wana uelewa mpana kuhusu mchakato wa mikopo ya elimu ya juu na namna ya kujiandaa kimasomo ili kupata fursa hiyo muhimu ya kujikwamua kielimu na kiuchumi.

Tangazo

  • TANGAZO LA MAFUNZO YA UDEREVA WA MAGARI, PIKIPIKI NA BAJAJI September 30, 2025
  • TANGAZO LA TOZO September 10, 2025
  • TANGAZO LA KUKODISHA MASHAMBA YA HALMASHAURI September 11, 2025
  • MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA WA DARASA LA SABA November 23, 2023
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • WANANCHI WILAYANI KILOSA WAHIMIZWA KUFANYA UCHUNGUZI WA AWALI WA SARATANI YA MATITI

    October 01, 2025
  • WASIMAMIZI WA MIRADI NGAZI YA SHULE WATAKIWA KUFANYA TATHMINI KWA KILA HATUA YA UJENZI

    September 28, 2025
  • KILOSA YAFANIKIWA KUCHANJA MBWA WENGI KATIKA WIKI YA KICHAA CHA MBWA

    September 28, 2025
  • WANANCHI WA KIJIJI CHA MAGUHA KUNUFAIKA NA MASHINE YA KUCHUJA ASALI

    September 21, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa