• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

Jamii yahamasishwa upandaji miti na utunzaji mazingira

Posted on: March 21st, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Alhaji Majid Mwanga ametoa rai kwa wananchi kuendelea kpanda miti katika maeneo mbalimbali ikiwemo kuendelea kusimamia maeneo yote yenye miti na kuwachykulia hatua wafugaji wote wanaoharibu mazingira kwa kuingiza mifugo maeneo yaliyopandwa miti na kusababisha miti hiyo kutoota.

Rai hiyo imetolewa wakati wa zoezi la upandaji miti lililofanyika katika kata ya Chanzuru ambapo amesema kila mmoja anafahamu thamani ya miti, hivyo ni vema miti yote inayopandwa ikasimamiwa na kukua kama ambavyo imekusudiwa huku akisisitiza upandaji miti pembezoni mwa barabara kuu na barabara zilizopo katika maeneo mbalimbali.

Mwanga amesema zoezi la upandaji miti ni muhimu ambapo ametaka taasisi mbalimbali na shule zote kuendelea kupanda miti huku akisisitiza walimu kutoa elimu na kushiriki katika upandaji miti kwa kila shule kwa kupanda miti ya ya aina zote jambo litakalosaidia utunzaji wa mazingira na kwamba zoezi la upandaji miti ni zoezi endelevu.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Kisena Mabuba amesema jukumu la upandaji miti ni la kila Wilaya ambalo likifanywa kwa uhakika linaweza kuondoa kwa kiwango kikubwa tatizo la maji na kwamba vyanzo vyote vya maji katika Wilaya ya Kilosa vina mchango mkubwa katika masuala la maji na upatikanaji wakei nchini na kwamba maeneo yatakayopandwa miti yatunzwe kwa ajili ya upatikanaji wa maji.

Kisena amesema kupitia mradi wa RUWASA na MORUWASA maji yatapatikana ambayo yatakuwa yakiwafikia wananchi,  hivyo jukumu la kuilinda miti na kuhifadhi mazingira ndivyo huduma ya maji itavyopatikana kwa wingi kwani kwa sasa maeneo mengi yanatumika maji vya visima ambapo amesema endapo tutapanda miti ya matunda na aina mbalimbali za miti itasaidia uhifadhi wa mazingira huku akishauri wananchi wanaolima milimani kuacha kilimo hicho kwani maji wanayotumia kumwagilia ni ya kitambo kifupi ambapo baada ya muda itasababisha uhaba wa maji.

Naye Kaimu Mkurugenzi wa WAMIRUVU Martin Kasambala amesema katika kuhakikisha azimio na agizo la Makamu wa Rais  la upandaji miti linatekelezwa ipasavyo WAMIRUVU imekabidhi miche ya m iti katika maeneo mbalimbali ikiwemo shule ya Sekondari Kilosa iliyopatiwa miche 6000, kijiji cha Ilonga kilichopo katika kata ya Chanzuru kikikabidhiwa miche 4000, Chuo cha Maendeleo ya Wananchi miche 2000 na miche 2000 ikitolewa kwa ajili ya mto Mkondoa.

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa