• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

Jumuiya ya Wazazi Kilosa yaadhimisha Miaka 45 ya CCM kwa kuwatembelea watoto wenye mahitaji maalum

Posted on: January 26th, 2022

Katika kuadhimisha miaka 45 ya kuzaliwa Chama Cha Mapinduzi Jumuiya ya Wazazi Wilaya imedhimisha maadhimisho hayo kwa kufanya ziara ya kuwatembelea watoto wenye mahitaji maalum katika shule ya msingi Mazinyungu ambapo wamekutana na watoto hao na kuwapatia zawadi mbalimbali.

Akizungumza katika ziara hiyo Katibu wa CCM Wilaya Shaban Mdoe amesema lengo la ziara hiyo ni kuonyesha umuhimu wa watoto hao katika jamii kwani ni kama watoto wengine ambao wanapaswa kuonyeshwa upendo ambapo amesema kutokana na idadi ya wanafunzi hao wapatao 96 eneo wanalotumia kwa  malazi halitoshi hivyo ipo haja ya kuongeza majengo mengine ili waweze kukaa vizuri.

Aidha amemshkuru Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kwa namna ambavyo amekuwa akiwajali watoto kwa kuhakikisha wanapata mahitaji muhimu ikiwemo fedha za chakula ili kuwawezesha kupata elimu yao ambapo pia amesisitiza jamii kutowaficha watoto wenye mahitaji maalum kwani katika juhudi za kuinua  kiwango cha elimu,  nchi nzima imewezeshwa kwa kupatiwa fedha zilizowezesha kujengwa madarasa ili watoto waweze kupata elimu.

Pamoja na hayo amewasisitiza watoto hao kutojiona wanyonge kwani licha ya ulemavu walionao lakini wana uwezo wa kusoma na kupata maarifa ambayo yatawasaidia katika maisha yao kwani kila mmoja ana kipaji chake ambacho Mungu amemkirimia na kwamba wana uwezo mkubwa wa kufanikiwa katika maisha yao.

Akibainisha zawadi walizojaliwa kuwapatia watoto hao Katibu wa Jumuia ya Wazazi Wilaya Bi Scholastica Salim amesema wamefanikiwa kuwapatia magunia mawili ya mkaa, sabuni za mche boksi moja lenye miche kumi,  sabuni ya unga  mmoja wa kilo 25 pamoja na mafuta ya kupakaa dazani 4 huku Mkuu wa shule hiyo  Kajika Gallani ameushukuru uongozi wa CCM Wilaya kwa kuwakumbuka na kuwatembelea ambayo kwao ni faraja kubwa na wamejisikia kufarijika mno.

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa