• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YAFANYA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KWA ROBO YA KWANZA KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025

Posted on: November 1st, 2024

Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango ikiongozwa na Makamo mwenyekiti wa  Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Mhe. Hassan S. Mkopi imetembelea na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo kwa kipindi cha robo ya kwanza kwa mwaka wa fedha 2024/2025.

Kamati hiyo imetembelea miradi kuanzia tarehe 30-31Oktoba, 2024 ambapo imeipongeza Timu ya menejimenti kwa hatua iliyofikia na kuitaka kuendelea kusimamia vema utekelezaji wa  miradi ya maendeleo ili iweze kukamilika kwa wakati na kutoa huduma bora kwa wananchi.

Akizungumza wakati wa ziara hiyo  Mhe. Mkopi ameridhishwa na utekelezaji wa miradi na kushauri timu ya wataalamu kwa kushirikiana na wasimamizi wa miradi kutatua changamoto zinazojitokeza wakati wa utekelezaji wa miradi ili iweze  kukamilika kwa wakati.

Miradi iliyokaguliwa ni pamoja na Ukarabati wa hospitali ya wilaya ambapo jumla ya majengo 13 yatakarabatiwa. Ujenzi wa jengo la Maabara umeanza  mradi  upo hatua ya upauaji  unaogharimu kiasi cha shilingi 315,677,050 kukamilika.

Pia kamati hiyo ilitembelea ujenzi wa vyumba 6 vya madarasa na matundu 8 ya vyoo katika shule ya Sekondari Rudewa mradi huo upo hatua ya umaliziaji unaogharimu kiasi chaShilingi146,400,000 fedha kutoka serikali kuu.

Aidha kamati ya fedha ilitembelea na kukagua mradi wa ujenzi wa vyumba 8 vya madarasa na matundu 8 ya vyoo katika shule ya sekondari Gongwe ujenzi upo hatua ya umaliziaji ambapo kiasi cha shilingi 190,400,000 fedha kutoka serikali kuu kwa ajili ya maendeleo ya elimu nchini Sambamba na  umaliziaji wa Zahanati ya Mfulu ambapo shilingi 50,000,000 zimepokelewa kwa ajili ya umaliziaji wa zahanati hiyo.

Vilevile kamati ya fedha ilitembelea ujenzi wa vyumba 4 vya madarasa na matundu 8 ya vyoo katika shule ya sekondari Mati pamoja  na ujenzi wa chumba 1 cha madarasa na matundu 8 ya vyoo katika shule ya sekondari Masanze.


Katika hatua nyingine kamati ya fedha ilitembelea na kukagua ujenzi wa vyumba 5 vya madarasa na matundu 8 ya vyoo katika shule ya sekondari Zombo pamoja na kituo cha Afya Ulaya ambapo kituo hicho kipo hatua ya upauaji. 

  

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa