• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

KAMATI ZA USIMAMIZI WA MIRADI ZAASWA KUSHIRIKI KIKAMILIFU KATIKA TARATIBU ZOTE ZA UJENZI WA MIRADI

Posted on: April 23rd, 2020

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa ambaye pia ni diwani wa kata ya Mvumi Mh.Hassan Mkopi amezitaka kamati mbalimbali zinazosimamia miradi katika ngazi ya kata na vijiji kutambua kuwa fedha zinazopelekwa katika miradi zinawahusu wao hususani katika taratibu zote za ujenzi, manunuzi, mapokezi na matumizi ya vifaa mbalimbali kwani miradi inayofanyika katika maeneo yao ni kwa faida yao na vizazi vyao.


Mkopi amesema hayo Aprili 23 mwaka huu alipokuwa ameambatana na kamati ya uchumi, uongozi na mipango walipofanya ziara ya kutembelea kituo cha mafunzo ya kilimo na mifugo(waki) kilichopo katika kata ya Ulaya ambapo amesema kamati zina wajibu wa kujua mlolongo mzima wa ujenzi, manunuzi na taratibu nyinginezo badala ya kuwaachia wataalam toka wilayani wafanye kila kitu kwani kabla ya kuanza kwa miradi hiyo wanapewa maelekezo namna ya utendaji ili kufanyika kwa miradi hiyo.

Mkopi amesema kuwa wilaya ya kilosa ni kubwa hivyo ni vema kuthamini kila wanachokipokea kwa kuhakikisha fedha yoyote inayoelekezwa katika miradi wanafahamu vizuri matumizi yake  ikiwemo taratibu za upatikanaji wa mafundi, upatikanaji wa wazabuni, manunuzi ya vifaa, mapokezi na hukakikisha fedha inatumika kama inavyostahiki na kutoa miradi inayolingana na thamani ya fedha iliyotolewa na kwamba uwepo wa BOQ ni jambo moja na utekelezaji wa BOQ ni jambo jingine hivyo kila wanapopokea fedha ni vema kila mwanakamati akawa na uelewa na kumbukumbu ya namna fedha hizo zinavyotumika.

Naye diwani wa viti maalum Mh Anna Sanga amesema ni vema wanakamati hao wakajikita katika kutumia kila fursa inayojitokeza kwa kujiletea maendeleo kwani wilaya ya Kilosa ni kubwa na ina hivyo sio kila mara itaangaliwa kata moja bali kata zote na inapotokea fedha imepelekwa katika kata yao ni vema wakahakikisha fedha hiyo inatumika vizuri na kwa viwango vinavyostahiki.

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa