• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mipango
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mifungo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

Kazi ya Uuguzi inahitaji Imani na Huruma

Posted on: May 11th, 2022

Wauguzi na wa wakunga wametakiwa kufanya kazi kwa juhudina maarifa kwa wagonjwa wanaofika katika vituo vya afya na hospitali ili kuepusha malalamiko pindi wananchi wanapohitaji kupatiwa huduma za kiafya.

Akizungumza na wauguzi wa Halmashauri zote za Mkoa wa Morogoro   katika siku ya ya Wauguzi Duniani ambayo kimkoa yamefanyika wilayani Kilosa Kaimu Katibu Tawala Mkoa Rosalia Rwegasira amesema kazi ya uuguzi na ukunga ni kazi ngumu inayohitaji imani na huruma katika kutekeleza majukumu yao ambapo siku hiyo huadhimishwa Mei 12 kila mwaka duniani ikiwa ni kutambua kundi hilo ambalo wakati mwingine hutoa muhanga maisha yao ili kuokoa watu wengi.

Maadhimisho hayo yenye kaulimbiu “Wauguzi sauti inayoongoza Wekeza kwenye Uuguzi na Heshimu Haki Kulinda Afya kwa Wote” ambapo amesema siku hiyo ni muhimu kwa wauguzi na wakunga kwani inawakumbusha mambo mbalimbali yanayohusu afya za wanadamu ikiwemo wajibu wwao na wajibu wa wahudumu wa afya katika kufanya kazi kwa kujituma ili kuimarisha afya za wananchi.

Aidha amesema kuwa Serikali inathamini michango ya wauguzi na wakunga katika kutengeneza kada hiyo na kuifanya kuwa ya kutegemewa na wananchi kwa kusaidia kutatua matatizo yanayoihusu jamii huku ambapo katika maadhimsho hayo  ambapo uniti 20 za damu ilikusanywa sambamba na kutoa chanjo ya Uviko-19 kwa wananchi watano.

Hata hivyo amesema katika kuadhimisha siku hiyo inaenda sawa na mikakati ya dunia katika kuwekeza kitaaluma kutokana na wanafunzi kujiunga katika vyuo mbalimbali ili kuipata taaluma hiyo huku akiahidi kuzifikisha sehemu husika changamoto zinazowakabili wauguzi na wakunga ili ziweze kutatuliwa.

Akisoma risala  kwa niaba katika maadhimisho hayo Edna Bundala ameeleza baadhi ya changamoto wanazokabiliana nazo uhaba wa wauguzi, ukosefu wa sare, vifaa tiba ambapo wameomba Wakurugenzi waruhusiwe kuajiri wauguzi waliopo mitaani.

Tangazo

  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI October 11, 2021
  • ZABUNI January 31, 2017
  • SOMA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA March 24, 2017
  • UTARATIBU WA UHAMISHO KWA WATUMISHI WA UMMA March 24, 2017
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • Viongozi wa kata wasisitizwa kusimamia vyanzo vya mapato

    May 13, 2022
  • Viongozi wa kata wasisitizwa kusimamia vyanzo vya mapato

    May 13, 2022
  • Viongozi wa kata wasisitizwa kusimamia vyanzo vya mapato

    May 13, 2022
  • Viongozi wa kata wasisitizwa kusimamia vyanzo vya mapato

    May 13, 2022
  • Angalia zote

Video

HIFADHII YA WANYAMA MIKUMI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • MFUMO WA PLANREP

Kurasa za Mfanano

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • NECTA
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu:

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa