• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

KILOSA KIJIKITA KATIKA MKAKATI WA USIMAMIZI WA MAZAO BAADA YA MAVUNO

Posted on: March 11th, 2020

Kuna changamoto mbalimbali  katika mnyororo wa thamani ya mazao ikiwemo upotevu wa mazao ambapo inakadiriwa kati 30% hadi 40% ya mazao ya chakula hupotea baada ya kuvuna kila mwaka kutokana na teknolojia duni za kuhifadhi mazao baada ya kuvuna, uelewa mdogo wa wadau katika kukabiliana na upotevu wa mazao pamoja  na uhaba wa  miundombinu  ya masoko.

Hayo yamebainishwa Machi 10 mwaka huu na Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Francis Kaunda katika mafunzo ya mkakati wa taifa wa usimamaizi wa mazao baada ya kuvuna ambapo amesema upotevu wa mazao ni tishio kubwa kwa usalama wa chakula kwa nchi yoyote duniani, kwani nchi isipojitosheleza kwa chakula husababisha wananchi wake kuwa na afya duni, dhaifu,  wasioweza kufanya shughuli za uzalishaji, wasioweza kujishughulisha katika shughuli za kijamii ikiwemo kuandaa watoto katika masomo kwa ajili ya maisha yao ya baadae na kwa maendeleo ya nchi kiujumla.

Kaunda amesema kuwa upotevu wa mazao huhatarisha  usalama wa nchi kwani inakuwa vigumu kwa kiongozi kutawala na kuongoza taifa la watu wenye njaa,  pamoja na hayo upotevu wa mazao baada ya kuvuna hupoteza mapato kwa wahusika kwa katika mnyororo wa thamani na kuwakatisha tamaa kuendelea na shughuli za uzalishaji ambapo mkulima kipato hupungua halkadhalika mapato ya ndani kwa Halmashauri  yatapungua ambayo husaidia katika kuendesha shughuli mbalimbali za maendeleo ambapo mazao hayo yakiwa katika usimamizi stahiki yatakuwa katika kiwango kinachoridhisha.

Pamoja na hayo amesema ili kukabiliana na changamoto za  upotevu wa mazao Serikali imeandaa mkakati wa kitaifa wa kupunguza upotevu wa mazao  unaolenga kukabiliana na upotevu wa mazao baada ya kuvuna ambapo katika mkakati huo maeneo kwa kushughulikia maeneo  tisa ili kuimarisha usalama wa chakula na lishe ambapo kila wilaya litaundwa jukwaa la wadau wa masuala ya usimamizi wa mazao baada ya kuvuna ili kujadili namna endelevu ya usimamizi wa mazao baada ya kuvunwa.

BAADHI YA WADAU WAKIWA KATIKA MAFUNZO HAYO.

Maeneo yanayopaswa kushughulikiwa ni uelewa mdogo kuhusu upotevu wa mazao baada ya kuvuna ikiwa ni pamoja na vyanzo vyake,athari zake na ufumbuzi wake kwa wahusika katika mnyororo wa thamani, pili ni upatikanaji mdogo wa teknolojia fanisi na za gharama nafuu za usimamizi wa mazao baada ya kuvuna, tatu mifumo duni na isiyotosheleza ya kimasoko na miundombinu ya mazao ya chakula, nne tafiti chahche na ubunifu mdogo katika masuala ya usimamizi wa mazao baada ya kuvuna, tano ni usimamizi duni wa kanuni na miongozo ua usimamizi wa mazao baada ya kuvuna, sita uwezo mdogo wa kitaasisi, uratibu usiotosheleza na ushiriki mdogo wa wadau wengine katika usimamizi wa mazao baada ya kuvuna, saba uwezo mdogo wa kutambua na kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabia nchi juu ya usimamizi wa mazao baada ya kuvuna, nane uwekezaji mdogo wa kifedha kwenye shughuli za usimamizi wa mazao baada ya kuvuna na mwisho ni ukosefu wa twakwimu na taarifa sahihi za upotevu wa mazao baada ya kuvuna.

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa