• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

Kilosa kunufaika na mradi wa BOOST

Posted on: December 24th, 2022

Rai imetolewa kwa Watendaji wa kata, walimu wa wakuu pamoja na waratibu elimu kati kushiriki kikamilifu katika utekelezaji wa mradi wa boost ambao unatekelezwa nchi nzima ambapo utanufaisha jamii katika suala zima la elimu. na kipaumbele kikiwa elimu ya msingi kwa wanafunzi wa elimu ya awali na darasa la kwanza.

Akizungumzia utekelezaji wa mradi huo Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Kisena Mabuba amesema upatikanaji wa fedha za mradi huo utategemea zaidi matokeo ya utekelezaji kwani ndio yatakayopelekea wilaya kupata fedha zaidi na kwamba Wilaya ya Kilosa inalo jukumu kubwa sana la ujenzi wa madarasa hivyo mradi huo ni fursa na unapaswa kusimamiwa ipasavyo kwa kuhakikisha watoto wa elimu ya awali na darasa la kwanza wanaandikishwa ipaswavyo.

Kisena amesema kuwa yapo maeneo nane ambayo yatasaidia utekelezaji wa mradi wa boost ikiwemo Mpango wa kuendelezwa miundombinu ya shule inayozingatia mahitaji kwa elimu ya awali na msingi, Mpango wa shule za msingi  salama,kuongeza asilimia ya uwiano wa uandikishaji wa wanafunzi wa elimu ya awali, Utekelezaji wa njia bora na matumizi ya vifaa stahiki vya kujifundishia na kujifunzia katika madarasa ya elimu ya awali, Utekelezaji wa mafunzo endelevu kwa walimu kazini(MEWAKA), Idadi ya shule za msingi na vituo vya walimu zinazotekeleza mtaala wa TEHAMA katika kufundishia na kujifunzia vinavyowezeshwa kupitia mfumo wa usimamizi wa ujifunzaji, Utengaji wa bajeti kwa ajili ya kuwezesha shughuli muhimu za programu na kuhakikisha kuwa kiwango cha bajeti kinadumishwa na kuongezwa pamoja na suala zima la Halmashauri zinazokidhi vigezo vya utawala bora katika elimu.

Mradi wa boost unakwenda kujenga shule mpya, kukarabati shule za zamani na kujenga nyumba za walimu hivyo ni jukumu letu sote kuhakikisha maeneo yanayotarajiwa kujengwa lazima yazingatie maeneo nane lakini pia suala zima la uandikishwaji wanafunzi wa awali na darasa la kwanza liwe ni ajenda kwani mradi unategemea kujenga madarasa ya awali ambayo yanapaswa kuwa rafiki kwa mtoto ili apende kwenda shule.

Kisena amesema kuwa malengo ya program ya boost ni kuboresha upatikanaji fursa sawa katika ujifunzaji bora wa elimu ya awali na msingi Tanzania Bara na ni sehemu ya Mpango wa Lipa Kulingana na Matokeo katika Elimu awamu ya pili(EPforR II) na inachangia utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo wa sekta ya elimu wa miaka mitano 2021/22 hadi 2025/26.

Kwa upande wake Afisa Elimu Msingi na Awali Wilaya Zakia Fandey amesema ili kufanikisha mradi huo kila mmoja anao wajibu wa kushiriki kikamilifu kwani utasaidia kwa kiasi kikubwa Wilaya kupata vyumba vya madarasa, nyumba za walimu hivyo unahitaji ushiriki wa kila mmoja ili kuufanikisha kwa maslahi mapana ya sekta elimu kwa Wilaya ya Kilosa

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa