• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

KILOSA YAANDAA MPANGO MKAKATI WA KUSAIDIA SHUGHULI ZA AFUA ZA LISHE

Posted on: January 26th, 2020

Katika kupunguza tatizo la udumavu na utapiamlo wilayani kilosa ipo haja ya kutengeneza mpango mkakati wa kukuza rasilimali za kusaidia shughuli za afua za lishe jambo litakalosaidia kupunguza tatizo la udumavu, utapiamlo lakini pia jamii itaelimisha kuhusu tabia bora za lishe ili kuwa na maisha bora kwa kila mwanajamii ifikapo mwaka 2023.

INVIOLATA CHAMI MMOJA WA WAWEZESHAJI WA KIKAO KAZI TOKA KAMPUNI YA DELLOITE

Hayo yamebainishwa Januari 24 mwaka huu na mwezeshaji kutoka kampuni ya Delloite chini ya shirika la USAID  Lishe Endelevu Inviolata Chami ambapo amesema lengo la kukutana na kamati ya lishe ni kutengeneza mpango mkakati wa kukuza rasilimali za kusaidia shughuli za afua za lishe kwani mipango ya shughuli za lishe imekuwa haifanyiki kikamilifu kutokana na kukosekana na rasilimali watu, fedha na vifaa hivyo mpango huo utasaidia  kamati kutafuta namna ya kupata rasilimali ili kusaidia shughuli hizo.

WASHIRIKI WA KIKAO KAZI WAKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA


Katika mafunzo hayo wajumbe wa kamati ya lishe walioshiriki katika mafunzo hayo kwa nyakati tofauti wamesema ipi haja ya kubuni vyanzo vipya vya mapato ikiwa ni pamoja na kuanzisha shamba la miwa ya sukari, shamba la ng’ombe wa maziwa , duka la madawa pamoja na kukodisha winchi na malori ya Halmashauri ili kupata fedha  lakini pia wamesema kuimarishwa kwa ukusanyaji wa mapato katika vyanzo vya ndani kutasaidia sana ili asilimia tano ya mapato iweze kutolewa  kusaidia shughuli za afua za lishe, kufanya mikutano na wadau mbalimbali ili kuweza kuchangia shughuli  za lishe ikiwa ni pamoja na kuandaa maandiko kwa wahisani kuongeza nguvu katika shughuli za lishe. Pia wamesema Kilosa uwepo wa changamoto za mafuriko, migogoro ya ardhi, mila potofu na jamii kukosa elimu ya lishe  ni miongoni mwa mambo yanayopelekea  kushindwa kumudu afua za lishe .

AFISA MIPANGO TUMSIFU KILEO AKIONGEA JAMBO KATIKA KIKAO KAZI CHA KAMATI YA LISHE WILAYA

Kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Afisa Mipango Tumsifu Kileo ameishukuru kampuni ya Delloite kwa kikao kazi hicho kwani kimewezesha kutoa mpango kamambe ambao unatoa dira katika kuboresha na kutoa huduma za afua za lishe kuhu akiisisitiza kamati ya lishe wilaya kuwa mstari wa mbele katika kusimamia mpango huo na kuhakikisha unatekelezeka kwa muda uliopangwa.

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa