• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

Kilosa yahitimisha siku kumi na sita za kupinga ukatili

Posted on: December 10th, 2022

Rai imetolewa kwa wananchi kupinga vitendo vya ukatili katikati ya jamii kwani vitendo hivyo vimekuwa vikisababisha madhara makubwa  ya kimwili na kiafya kwa jamii kwani ni jukumu la kila mmoja kutoa taarifa pindi anapoona vitendo hivyo vikijitokeza auunapoona mtu akitendewa vitendo hivyo.

Rai hiyo imetolewa na Afisa Maendeleo ya Jamii Bi. Simforosa Mollel wakati wa wa kilele cha siku kumi na sita za kupinga ukatili ambapo zilianza rasmi tarehe 25/11/2022 na kuhitimishwa tarehe 10/12/2022 katika kata ya Magubike ambapo amewata wanakilosa kutambua kuwa ni jukumu la kila mmoja kuungana mkono juhudi za kupinga ukatili huku akisema kuwa chimbuko la siku hizi kumi na sita za kupinga Ukatili dhidi ya Watoto na Wanawake limetokana na wanaharakati ambao walipinga ukatili dhidi ya wanawake uliofanywa na utawala wa kidikteta wa Jamhuri ya Dominika Novemba 25, 1960.

Katika kuhitimisha siku kumi na sita za kupinga ukatili maadhimisho hayo yaliambatana na shughuli mbalimbali yakiwa yamebeba kauli mbiu isemayo KILA UHAI  UNA THAMANI TOKOMEZA MAUAJI  NA UKATILI  DHIDI YA WANAWAKE  NA WATOTO ambapo  kitaifa yalifanyika Mkoani Tanga huku katika wilaya ya Kilosa yakifanyika katika kata Magubike.


Kwa upande wake Mwenyekiti wa SMAUJATA Kilosa Mussa Ndekero amewasihi kina baba kuacha kuwanyanyasa akina mama kwani ndiyo watu muhimu kabisa katika familia na kwamba wanapoteseka  na kunyanyasika kwa namna yoyote ile inajenga vitendo vya kikatili ambavyo vinapelekea madhara makubwa kwao huku akisema kuwa si kinamaama pekee hufanyiwa vitendo vya kikatili bali hata kinababa hufanyiwa ukatili hivyo ni vema kila mmoja akakemea vitendo vya kikatili.

Kwa upande wao baadhi ya wananchie wamewashukuru sana viongozi wa Serikali na Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa  kwa kuhitimishiwa maadhimisho haya ya siku kumi na sita za kupinga Ukatili kwa kupelekewa elimu ya kutosha juu ya kupinga ukatili kwani ni vitendo ambavyo havitakiwi katika jamii tunayoishi na nchi kwa ujumla.

Tangazo

  • TANGAZO LA MKUTANO WA BARAZA LA WAHE. MADIWANI May 22, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • WAUGUZI WATAKIWA KUWA WAADILIFU MAHALI PA KAZI

    May 30, 2025
  • WAHE. MADIWANI WAISHUKURU SERIKALI YA AWAMU YA SITA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

    May 30, 2025
  • KILOSA YAJIPANGA KUTATUA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI

    May 28, 2025
  • VITENGO VYA HABARI SERIKALINI VIIMARISHWE KWA KUFANYA MAWASILIANO YA KIMKAKATI

    May 24, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa