• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

KILOSA YAKUSANYA MILIONI 262 KWA ZAO LA UFUTA KUPITIA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI

Posted on: July 12th, 2025

Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa imekusanya Mapato kiasi cha shilingi Milioni 262 kwa kuuza zao la ufuta kupitia mfumo wa stakabadhi ghalani.

Kauli hiyo imetolewa hivi karibuni na Mkuu wa Divisheni ya Kilimo, Mifugo na uvuvi wa halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Ndg. Elia Shemtoi ambapo amesema hadi kufikia Juni 30, 2025 halmashauri imeweza kukusanya kiasi hicho ambacho ni kiwango cha juu ukilinganisha na mwaka uliopita kabla ya kutumia mfumo huo.

Shemtoi ameongeza kuwa mfumo wa stakabadhi ghalani pia umewanufaisha wakulima wengi kwa kupata malipo yao stahiki na kwa wakati, huku akitoa wito kwa wakulima kuupuza taarifa za upotoshaji zinazotolewa na baadhi ya wafanyabiashara kuwa mfumo huo hauna mafanikio.

Aidha Shemtoi amewasihi Maafisa Ugani kuendelea kuelimisha wakulima juu ya umuhimu wa stakabadhi ghalani kwani kupitia elimu watakayoitoa itasaidia kuelimisha na pia kuongeza chachu mabadiliko kwa wakulima.

Pia Shemtoi ameishukuru Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwezesha matumizi ya mfumo huo kupitia wizara ya kilimo kuwa mazao yote yauzwa kupitia mfumo  huo lakini pia mfumo wa stakabadhi ghalani umeongeza ajira za muda kwa wananchi katka maeneo ya maghala ambapo kumekuwa na shughuli mbalimbali za maandalizi ya ufuta kabla ya kuhifadhiwa.

Kwa upande wake Afisa Kilimo Mwandamizi mwenye jukumu la kusimamia mfumo huo Ndg. Meshack G. Mkonda amesema kuwa mpaka sasa halmashauri imefanikiwa kuuza mazao jumla ya Tani 3500 katika minada 14iliyofanyika, na wakulima wamepata malipo yao kwa wakati bila changamoto yoyote, huku akiwataka wakulima kupeleka mazao yao katika vyama vya msingi na baadae kupelekwa kwenye ghala kuu kwa ajili ya mauzo.

Naye mkulima wa zao la ufuta Bi. Neema Ndiyu mkazi wa magomeni ambaye pia ni mnufaika wa mfumo wa stakabadhi ghalani amesema mfumo huo ni rahisi na unasaidia kwa kiasi kikubwa kuuza mzao yao kwa bei nzuri na kupata kipato halali tofauti na kipindi cha nyuma.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI KILOSA DC June 06, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • KILOSA YAKUSANYA MILIONI 262 KWA ZAO LA UFUTA KUPITIA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI

    July 12, 2025
  • DC SHAKA AWATAKA WANANCHI KUTUMIA FURSA ZA UWEKEZAJI KILOSA

    June 30, 2025
  • DC SHAKA AWATAKA VIONGOZI NGAZI YA KATA NA VIJIJI KUSHIRIKANA KULETA MAENDELEO KATIKA MAENEO YAO

    June 30, 2025
  • KILOSA YAISHUKURU SERIKALI YA AWAMU YA SITA KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    June 22, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa