• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

KILOSA YAMUDU KUENDESHA SHUGHULI ZA MAENDELEO KWA MAPATO YA NDANI

Posted on: May 6th, 2020

Halmashauri ya wilaya ya Kilosa imeendelea kutekeleza shughuli za maendeleo jambo ambalo limeleta tija katika jamii ambapo,imeweza kumudu kupata hati safi kwa miaka mitano mfululizo lakini pia imeweza kutekeleza shughuli za miradi kwa mapato yake ya ndani.


Akifungua kikao cha baraza la madiwani makamu mwenyekiti ambaye alikuwa Mwenyekiti katika kikao cha baraza la madiwani Mh. Hassan Kambenga amesema hayo Mei 5 mwaka huu katika kikao cha baraza la madiwani ambapo amesema katika utekelezaji wa shughuli za maendeleo jumla ya shilingi bilioni 3.082 zimeweza kutekeleza shughuli za maendeleo na kwamba ni Halmshauri chache zenye uwezo wa kujiendesha kwa kutegemea mapato yake kwa kuzingatia asilimia zilizowekwa kisheria kwani hapo awali ilikuwa ni vigumu kwa kujiendesha lakini kwa sasa inawezekana kutokana na ushirikiano uliopo kwa ngazi zote.

Kwa niaba ya  Mkuu wa Wilaya Katibu Tawala Yohana Kasitila akitoa nasaha katika baraza la madiwani lililofanyika Mei 5 mwaka huu amesema waheshimiwa madiwani wanao wajibu wa kuongeza kasi ya usimamizi wa miradi na kuepusha ubadhilifu katika miradi kwenye maeneo yao lakini pia kuwa mstari wa mbele kuhakikisha inakamilika kwa wakati na inaleta tija katika jamii.


Kasitila amesema kuwa licha ya suala la usimamizi wa miradi lakini pia suala la utawala bora latika ngazi ya kata na vijiji limekuwa ni tatizo kutokana na vikao vingi vya kisheria kutofanyika licha ya kuwepo kwa viongozi husika katika maeneo hayo jambo ambalo limekuwa likisababisha malalamiko miongoni mwa wananchi ambapo kero za zimeonekana kutotatuliwa kiasi cha kupelekea wananchi hao kupeleka kero zao katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa au Mkuu wa Wilaya kero ambazo zingetatuliwa na viongozi katika ngazi ya kata na vijiji hivyo amewataka ili shughuli za serikali ziweze kwenda kwa misingi ya utawala bora huku upande wa mapato akitaka kusimamiwa vema kwani eneo hilo la makusanyo ya mapato ya ndani hali yake iko chini.

Akitoa taarifa ya mafanikio ya matumizi ya fedha za mapato ya ndani kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli za maendeleo kwa mwaka 2015/16 hadi Aprili 2020 Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Francis Kaunda amesema Halmashauri imekuwa ikitekeleza shughuli mbalimbali za maendeleo ikiwa na lengo la kutoa huduma bora na kwa wakati kwa wananchi wa Wilaya ya Kilosa na wilaya jirani na kwa wasafiri mbalimbali kupitia sekta mbalimbali kama vile sekta ya afya, elimu, maji na nyinginezo na kuleta mafanikio makubwa kwa Halmashauri ambapo 40% ya mapato zinatumika katika miradi ya maendeleo na 60% kwenye matumizi mengine.

Kaunda amesema kuanzia mwaka 2015/2016 hadi Aprili 2020 Halmashauri imeweza kutumia jumla ya shilingi 3,082,935,593.24 kwa ajili ya shughuli mbalimbali za maendeleo ikiwemo ambapo 10% imetumika kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo, huku 10% kwa ajili ya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu pamoja na 20% kwa ajili ya fedha za vijiji.

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa