• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

KILOSA YAPATA HATI INAYORIDHISHA MIAKA MITANO MFULULIZO

Posted on: July 11th, 2019

Julai 10 mwaka huu Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt Kebwe S. Kebwe ameitaka Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa kuendelea kutunza vyema rekodi waliyonayo na kupata hati inayoridhisha ambayo wameipata kwa miaka mitano mfululizo.

Kebwe amesema kuwa upatikanaji wa hati safi ama inayoridhisha ni ishara na alama nzuri ya mafanikio mazuri ambayo yameendelea kuonyesha utendaji na usimamizi mzuri washughuli mbalimbali katika Halmashauri jambo ambalo limeuletea sifa na heshima Mkoa wa Morogoro.

Aidha Kebwe amesema kuwa katika Mkoa wa Morogoro Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa ni miongoni mwa halmashauri zilizopo katika Mkoa wa Morogoro zilizopata hati inayoridhisha ambapo Halmashauri ya Kilombero na Ulanga zimepata hati isiyoridhisha ambapo kupitia hati inayoridhisha ameitaka Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa kuhakikisha mapato na  matumizi sambamba na makusanyo yanafanyika inavyostahiki ili kuepuka kupata hati isiyoridhisha.

Sambamba na hayo Kebwe ameitaka Halmashauri ya Kilosa kuangalia kwa kina vyanzo vingine vipya vya mapato lengo ikiwa ni kuongeza mapato lakini pia ametoa wito kwa halmashauri kuwa na mashamba ya halmashauri pamoja na viwanda jambo litakalosaidia kuongeza mapato ya halmashauri.

Pamoja na hayo Dkt Kebwe amesitisitiza ufatiliaji wa madeni yote ya mashine za ukusanyaji mapato POS sambamba na madeni mbalimbali ambayo halmashauri inadai kutoka kwa watu mbalimbali yafuatiliwe na kulipwa mara moja.

Akisoma taarifa ya majibu ya hoja za Mdhibiti na Mkaguzi wa hesabu za serikali kwa mwaka wa fedha wa 2017/2018 Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Asajile Lucas Mwambambale amesema Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu Hesabu za Serikali ameridhishwa kuwa uandaaji wa hesabu hizo menejimenti ya Halmashauri Kilosa iliweza kuzingatia miongozo stahiki na hesabu haziakisi tafsiri potofu zilizotokana na  wizi,  ubadhirifu ama kasoro za kibinadamu ambapo pia ametoa maoni kuwa hesabu za mwaka za Halmashauri ya Kilosa zinaakisi hali halisi za shughuli za uendeshaji za kifedha na zile zisizo za kifedha na kuipatia hati inayoridhisha ikiwa ni mwendelezo wa miaka mitano mfululizo.

Aidha Asajile amesema kuwa Halmashauri inaendelea kuimarisha mifumo ya udhibiti, kuziba mianya ya uwezekano wa kutokea kwa wizi na ubadhirifu lengo ikiwa ni kuhakikisha kunakuwa na utendaji wenye tija utakaoiwezesha Halmashauri kuendelea kupata hati zenye kuridhisha za ukaguzi mwaka hadi mwaka.

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa