• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

Kilosa yazidi kufanya vyema katika ukusanyaji wa mapato

Posted on: November 21st, 2022

Baraza la Madiwani wilaya ya Kilosa limewapongeza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa na Mweka hazina Wilaya kwa ufanisi mkubwa waliouonesha katika makusanyo ya mapato kwa kipindi cha miezi mitatu na kufikia zaidi ya asilimia 100.

Wakizungumza baadhi ya madiwani kwa nyakati tofauti katika mkutano wa baraza la madiwani Novemba 18 wamesema kuwa haijawahi kutokea ukusanyaji mkubwa wa mapato katika kipindi kifupi na hiyo imetokea kwa kuwa na ushirikiano mzuri waliouonesha dhidi yao hivyo wananstahili pongezi kwa namna ambavyo wanapambana kuhakikisha mapato yanaongezeka ambayo ndio itakuwa chachu ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

Awali akizungumza Mwenyekiti wa Halmashauri Mh.Wilfred Sumari amesema kuwa mapato katika mwaka wa fedha 2022-2023  wa kuanzia Julai hadi Septemba zimekusanywa shilingi bilioni 1.2 sawa na asilimia 109 ambapo kwa makisio kwenye robo hiyo yalikuwa ni shilingi bilioni 1.1 ambapo makusanyo hayo yamevuka malengo yaliyokusudiwa ikiwa  ni juhudi kubwa za kiutendaji zilizoonyeshwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Kisena Mabuba na Mweka Hazina wa Wilaya Dismas Mgao kwa usimamizi na maelekezo yenye tija kwa watendaji wao ndio yamefanikisha Halmashauri kukusanya mapato ya ndani kwa kiasi kikubwa hivyo wataona namna ya kuwapongeza ili kuleta ufanisi zaidi.

Katika hatua nyingine Mwenyekiti huyo amezungumzia suala la kutunza vyanzo vya maji kwani wakulima wamekuwa wakilima katika vyanzo vya maji hivyo amewataka watendaji wakasimamie utunzaji wa vyanzo vya maji kama sheria inavyosema huku akisema kuwa ukatikaji wa umeme mara kwa mara ni kutokana na uharibifu mkubwa unaofanywa na jamii kuharibu vyanzo vya maji.

Tangazo

  • TANGAZO LA MKUTANO WA BARAZA LA WAHE. MADIWANI May 22, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • WAUGUZI WATAKIWA KUWA WAADILIFU MAHALI PA KAZI

    May 30, 2025
  • WAHE. MADIWANI WAISHUKURU SERIKALI YA AWAMU YA SITA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

    May 30, 2025
  • KILOSA YAJIPANGA KUTATUA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI

    May 28, 2025
  • VITENGO VYA HABARI SERIKALINI VIIMARISHWE KWA KUFANYA MAWASILIANO YA KIMKAKATI

    May 24, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa