• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mipango
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mifungo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2018 awatahadharisha watendaji wa umma

Posted on: July 31st, 2018

 

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru  Kitaifa Ndg. Charles Kabeho amewataka watendaji wa umma kila mmoja kufanyakazi kwa bidii katika nafasi yake ili kuendana na kasi ya Kauli mbiu ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli ya HAPA KAZI TU  ili kuwaletea wananchi maendeleo kauli ambayo inasimamia sheria, taratibu, kanuni na weledi wa kazi.

Kiongozi huyo wa Mbio za Mwenge wa Uhuru ametoa maagizo hayo Julai 30 mwaka huu  wakati wa makabidhiano ya Mwenge wa Uhuru kati ya Mkoa wa Morogoro na Mkoa Dodoma ambapo mbio hizo za Mwenge wa Uhuru wilayani Kilosa mkoani Morogoro zilimazika katika kata ya Lumuma na kukabidhiwa kimkoa katika Wilaya ya Mpwapwa katika jiji la Dodoma.

Kabeho amesema kuna baadhi ya watendaji wachache wa Serikali ambao bado hawajajua wajibu wao katika kutekeleza majukumu ya nafasi zao hivyo ametoa wito kwa mamlaka husika kuwachukulia hatua watendaji kama hao ili wasiendelee kurudisha nyuma maendeleo ya wananchi na Serikali ya awamu ya tano.

Aidha, amewataka wananchi kuwekeza katika Elimu kwa kuwajibika kuwapeleka watoto wao shule kwa kuwagharimia kwa kuwapatia mahitaji ya msingi ya shule ikiwa ni pamoja sare za shule, kufuatilia taarifa za masomo yao na kushiriki kutoa michango inayohusu chakula  cha watoto wawapo shuleni baada ya makubaliano ya wazazi wenyewe.

Wakati huo huo Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Kebwe Stephen Kebwe  muda mfupi kabla ya Makatibu Tawala wa Mikoa ya Dodoma na Morogoro kukabidhiana Mwenge wa Uhuru amewatakia wananchi wa Mkoa wa Dodoma unaoongozwa na Mkuu wa Mkoa huo Mhe. Bilinith Mahenge matashi mema ya kutekeleza jukumu zito la kitaifa la Kukimbiza Mwenge wa Uhuru kwa usalama.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Adam Mgoyi amesema Wilaya ya Kilosa imekamilisha Jukumu la Kukimbiza Mwenge wa Uhuru kwa mafanikio makubwa ambapo miradi sita inayogharimu shilingi bilioni 2.3 imetembelewa na mwenge huo ikiwemo kuweka jiwe la msingi kituo cha afya Kidodi, ufunguzi wa mradi wa maji Mikumi, kuweka jiwe la msingi katika kiwanda cha kusindika matunda Ihombwe, uzinduzi wa mabwawa ya samaki na kuona kilimo cha nyanya kwenye kitalu nyumba Ulaya Kibaoni pamoja na kuweka jiwe la msingi kituo cha mafuta Rudewa.


Tangazo

  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI October 11, 2021
  • ZABUNI January 31, 2017
  • SOMA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA March 24, 2017
  • UTARATIBU WA UHAMISHO KWA WATUMISHI WA UMMA March 24, 2017
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • Mfumo wa TAUSI watambulishwa kwa wafanyabiashara

    March 23, 2023
  • Shule ya Msingi Tambukareli yaanza kutumika rasmii

    March 06, 2023
  • Shule ya Msingi Tambykareli yaanza kutumika rasmi

    March 06, 2023
  • DC SHAKA ASISITIZA UONGOZI WA PAMOJA

    March 01, 2023
  • Angalia zote

Video

HIFADHII YA WANYAMA MIKUMI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • MFUMO WA PLANREP

Kurasa za Mfanano

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • NECTA
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737-847-880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa