• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mipango
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mifungo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

Kuchangia ujenzi wa zahanati kwa kutumia kuku

Posted on: June 14th, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Hemedi Majid Mwanga ametoa agizo kwa Viongozi wa Serikali ya kijijiji Cha Nyangala Bondeni kilichopo kata ya Maguha Wilayani Kilosa kuhamasisha wananchi kuchangia michango ya ujenzi wa Zahanati kupitia kuku wanaowafuga majumbani mwao.

Ametoa agizo Hilo Juni 11 Mwaka huu 2022 katika Kijiji hicho Cha Nyangala Bondeni kilichopo kata ya Maguha katika ziara yake ya kukagua miradi ya maendeleo na kusikiliza changamoto zinazowakabili Wananchi na kuzitatua Wilayani Kilosa.

Mkuu wa Wilaya Majid ameeleza kuwa Wananchi hao wamekuwa wakimiliki mifugo mbalimbali ikiwemo kuku mmoja kuuzwa elfu kumi, hivyo kupia kuku hao wachange Kama michango yao ili waweze kijenga Boma la Zahanati ambapo Serikali itasaidia Mabati kwaajili ya umaliziaji ,hivyo Viongozi wote wa kata na Kijiji hicho amewataka washilikiane kijenga Zahanati ambapo kauli mbiu ya Ujenzi huo ni "Jenga Zahanati kwa kuku" kwanii kuku Ana thamani kubwa .

Sambamba na Hilo Mkuu wa Wilaya Majid Mwanga amewataka Watendaji wa Vijiji na Kata hiyo kuacha kuwatoza fedha Wananchi Mara wanapokwenda kupata huduma ,watambue kuwa kwa kufanya hivyo watachukuliwa hatua Kali ambapo Viongozi hao waliweza kukili kosa Hilo mbele ya Mkutano huo ya kuwa hawatarudia kutoza fedha kwa wananchi wao..

Awali Wananchi wamelalamika kutozwa fedha na Viongozi wa Serikali za Vijiji na Kata Mara wanapokwenda kupata huduma ofisi za Vijiji na Kata .

Tangazo

  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI October 11, 2021
  • ZABUNI January 31, 2017
  • SOMA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA March 24, 2017
  • UTARATIBU WA UHAMISHO KWA WATUMISHI WA UMMA March 24, 2017
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WAKUMBUSHWA KUZINGATIA MAADILI

    June 05, 2023
  • Vikundi vilivyopata mikopo vyatakiwa kufanya marejesho kwa wakati

    June 02, 2023
  • Vikundi vilivyopata mikopo vyatakiwa kurejesha kwa wakati

    June 02, 2023
  • Shaka aahidi kushirikisha wananchi utatuzi wa changamoto

    May 31, 2023
  • Angalia zote

Video

HIFADHII YA WANYAMA MIKUMI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • MFUMO WA PLANREP

Kurasa za Mfanano

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • NECTA
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737-847-880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa