• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

KULIPA KODI NI KWA MUJIBU WA SHERIA

Posted on: September 10th, 2018

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Asajile Mwambambale amewataka wamiliki wa nyumba za kulala wa wageni almaarufu gesti kutambua kuwa ni wajibu wa  kila mmiliki wa gesti kulipa tozo stahiki kwani tozo (kodi) hizo ni kwa mujibu wa sheria ambazo hutungwa na bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mwambambale amesema hayo wakati wa kikao cha majadiliano baina yake na wamiliki wa gesti ambao walitoa changamoto mbalimbali wanazokumbana nazo katika biashara zao ikiwemo ombi la wamiliki kutaka kupunguziwa bei ya vitabu vya kupokelea wageni ambavyo awali ilikuwa ni shilingi 10,000 lakini baada ya majadaliano hayo bei imefikia kuwa shilingi 5,000/ kwa kila kitabu ambavyo vinapatikana katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa katika ofisi za biashara.

Aidha Mwambambale amewataka wamiliki hao kutambua kuwa uwepo wa vitabu hivyo ni muhimu kwani vitasaidia kuwa na udhibiti mzuri wa mapato kwa upande wa halmashauri na wamiliki ambao gesti hizo huwa chini ya wasimamizi wanaoajiriwa na wamiliki hao, hivyo kila mmiliki ahakikishe gesti yake inakuwa na vitabu hivyo vyenye mfumo mmoja ulio katika ubora pindi ifikapo tarehe 01/10/2018.

Naye Mwanasheria wa Halmashauri Edward Kutandikila amewataka wamiliki hao kutii sheria bila shuruti na kuheshimu sheria zilizowekwa na kuzifuata ikiwemo kulipa tozo husika kwa wakati muafaka ili kuepuka kuchukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria ikiwemo ulipaji wa leseni kwa wakati ili kuepuka kulipa faini.

Sambamba na hayo wamiliki wa gesti wameiomba ofisi ya Mkurugenzi kuwatazama kwa jicho la karibu kwa kuwasaidia kupunguza gharama za nauli wanazolipia kuja Kilosa na kurudi maeneo yao kwa kuweka vituo vya muda vya watendaji toka ofisi ya biashara katika maeneo yao ili kukusanya tozo husika na kuziwasilisha, pia wamemkabidhi Mkurugenzi huyo katiba ya wafanyabiashara ikiwa ni sehemu ya kuonyesha ushirikiano wao kwa uongozi huo wa Halmashauri.

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa