• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

Lishe bora na chanjo vizingatiwe kwa maslahi ya wananchi

Posted on: April 25th, 2022

Imeelezwa kuwa ili kuwa na afya bora ni lazima kuzingatia suala la lishe bora ambapo lishe inapaswa kuzingatiwa tangu mimba inapotungwa jambo litakalosaidia mtoto kuzaliwa akiwa na afya bora sambamba na kuzingatia upatikanaji wa lishe bora jambo litakalosaidia kuwa na jamii yenye afya bora.

Hayo yamebainishwa na Katibu Tawala Wilaya Yohana Kasitila ambaye ameyasema hayo kwa niaba ya Mkuu wa Wilayak ambapo amesema kuwa suala la lishe ni suala nyeti ambalo ni shirikishi kwa viongozi wa ngazi zote pamoja na wananchi ili kuwa na jamii yenye siha njema.

                                                                                                Viongozi wa Wilaya na watendaji wa kata wakisaini Mkataba wa Lishe na Chanjo 

Kasitila amesema kuwa mwili wa binadamu ni kama gari ambapo muda wote mwili unapaswa kuhudumiwa kwa kuzingatia lishe endelevu ili kwani Wilaya inategemewa kuwa na jamii yenye afya njema ambapo ametaka kuungwa mkono juhudi za Serikali katika kuhakikisha jamii inakuwa na lishe endelevu ikiwemo kusimamia suala la chanjo ya Uviko-19, chanjo ya polio kwa watoto chini ya miaka mitano inayotarajiwa kuzinduliwa kitaifa Aprili 28, 2022 kwa maslahi ya maisha ya wananchi.

Naye Mbunge wa jimbo la Mikumi Mh. Dennis Londo amesema suala la lishe pamoja na chanjo ya Covid 19 na polio ni suala la afya kwa jamii na taifa kiujumla ambapo ili jamii iweze kufanya kazi zake lazima lishe bora izingatiwe ili jamii na taifa kiujumla liweze kuwa na watu wenye uwezo wa kufanya shughuli zake kwa ufanisi hivyo ili kupata kizazi chenye nguvu ni lazima kuwekeza kwenye lishe

Londo amesema ni vema kuwekeza katika lishe kwani chakula ni dawa ambapo jamii ikila kwa mpangilio itasaidia Serikali kuepuka gharama kubwa za kuagiza madawa badala yake fedha hiyo kutumika kwa shughuli za maendeleo huku akisisitiza umuhimu wa chanjo kwani ni kinga ambayo ikizingatiwa itasaidia kuepuka maradhi lakini pia ametaka kuzingatiwa chanjo ya polio ambayo itasaidia kukinga watoto dhidi ya udumavu na kifo endapo chanjo zote hazitazingatiwa .

                                                                                                                                    Mganga Mkuu Wilaya Dkt. George Kasibante

                                                                                                                                    Afisa Lishe Wilaya Bi. Zaina Kibona

                                                                                                                           Mratibu wa Chanjo Wilaya Bi,Rakhia

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa